Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Mkuu, Sio Selasini peke yake, wapo wengi zaidi.
However, my point is, Kuna watu wana disaddvantage coz majimbo yao yapo vijijini.
Chochote kidogo wanachofanya kinaweza kisionekane humu.
Think about that!!!
Mkubwa Jimbo la selasini sio landlocked katika media. Ni mtu kutokuamua kupiga kazi kama wengine tu. Nadhani katika jeshi la CDM bungeni kutoka majimboni huyu jamaa wa Rombo ni mzigo na ni mmoja kati ya wale wabunge watakao andika historia ya kua one term MPs
Hongera kamanda msigwa. Piga kazi, jenga Chama. Imarisha mtandao wa CDM hapo iringa kwa sababu pamoja na mambo mengine huo ndio utakaokupigania kurudi mjengoni 2015