Mchungaji mgeni

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Alikaribishwa mchungaji mgeni kutoka Africa Kusini kufanya ibada/mahubiri katika kanisa moja hapa bongo,kwa kuwa ilikuwa lazima kumtafsiri kwa vile hajui kiswali ikabidi atafutwe mkalimani(mtafsiri).Mambo yakawa hivi~~~~

Mchugaji mgeni: My name is Livingstone
Mkalimani:anasema jina lake linaitwa Jiwe linaloishi
Mchungaji Mgeni:I came from Johans'berg
Mkalimani; anasema ametoka katika begi la yohana.

Waumini hoi kwa kicheko
 
Alikaribishwa mchungaji mgeni kutoka Africa Kusini kufanya ibada/mahubiri katika kanisa moja hapa bongo,kwa kuwa ilikuwa lazima kumtafsiri kwa vile hajui kiswali ikabidi atafutwe mkalimani(mtafsiri).Mambo yakawa hivi~~~~

Mchugaji mgeni: My name is Livingstone
Mkalimani:anasema jina lake linaitwa Jiwe linaloishi
Mchungaji Mgeni:I came from Johans'berg
Mkalimani; anasema ametoka katika begi la yohana.

Waumini hoi kwa kicheko

mkuu, mambo yaliendelea hivi
mchungaji mgeni; dear christians Jesus is our Lord
mkalimani; mpenzi christina Yesu ni mzigo wetu
 
Habari znasema kuwa iliendelea ........

Mchunga: I have come to heal you!
Mkalimani: Nimekuja kuwafanya mlima!
Mchungaji: The Lord is coming soon!
Mkalimani: Mzingo unaingia hivi karibuni!
Mchungaji:praise the Lord!
Mkalimani: Bonyeza mzigo!
 
Habari znasema kuwa iliendelea ........

Mchunga: I have come to heal you!
Mkalimani: Nimekuja kuwafanya mlima!
Mchungaji: The Lord is coming soon!
Mkalimani: Mzingo unaingia hivi karibuni!
Mchungaji:praise the Lord!
Mkalimani: Bonyeza mzigo!

hii kazi ya upolemani samahani ukalimanini bomba sana hahahahahaha
 
Alikaribishwa mchungaji mgeni kutoka Africa Kusini kufanya ibada/mahubiri katika kanisa moja hapa bongo,kwa kuwa ilikuwa lazima kumtafsiri kwa vile hajui kiswali ikabidi atafutwe mkalimani(mtafsiri).Mambo yakawa hivi~~~~

Mchugaji mgeni: My name is Livingstone
Mkalimani:anasema jina lake linaitwa Jiwe linaloishi
Mchungaji Mgeni:I came from Johans'berg
Mkalimani; anasema ametoka katika begi la yohana.

Waumini hoi kwa kicheko

Ahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom