IFUNYA
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 363
- 130
Anakiri kuwa mwanaCCM ingawa anawaonya kina Mwakyembe wasing'ang'anie huko! Yeye anahofia nini, kwa nini asianze yeye kutoka ?
Huyu ni mchungaji wa watu anapenda kutanguliza wanakondoo wake naye atfuta baada ya kuwatoa wote zizini. Tunamtakia kazi njema ya ukombozi wa Taifa hili.