Mchungaji Cherehani baada ya kuchaguliwa mweka hazina wa CHADEMA tawi la DMV (Washington D.C, ameonyesha ushupavu wa hali ya juu katika ukusanyaji wa mapato hapa DMV.
Mchungaji Cherehani ambaye hata kanisa lake linaitwa Kanisa la CHADEMA Washington D.C waumini wanadai kuwa amekuwa anahubiri siasa badala ya dini. Pesa zetu za kanisa zitasalimika? Je siasa na dini vitaenda pamoja?