Kuna Mchungaji ametoa Kauli kuwa Chanzo cha Kuchoma Makanisa ni CCM ambayo iliingiza kinyume cha Sheria kipengele cha Mahakama ya Kadhi ili wapate Madarak amwaka 2005. Amesema mtu wa kulaumiwa hapa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa (JK) ambaye aliomba kura kwa Wananchi kwa kutumia sera ya dini yake badala ya sera za vyama vya siasa.
Amewataka Waislamu na jamii ya Watanzania wapenda amani wasielekeze lawama kwa Waislam bali Waelekeze lawama kwa watawala walioingia madarakani kwa sera ya kuwagawa Watanzania kwa mfumo wa dini ili iwefundisho kwa watawala wanaotaka madaraka kwa kumwaga pesa katika nyumba za ibada.
Amewataka Maaskofu kutokuwa Wanafiki kwa kukwete kueleza ukweli juu ya Madhara yaliyoletwa na CCM kupitia Kipengele cha Mahakama ya kadhi bali wanapaswa kueleza ukweli hata kama watawala hao watatembelea Makanisa !!
Pando walilolipanda watawala sasa linaleta matunda na yafaa Waachie ngazi ili amani ipatikane.
Udini katika siasa ni Mbegu Mbaya kuliko hata maandamano ya kuutoa utawala na Msajili wa Vyama vya siasa anapaswa kuangalia vyama vilivyochocheo udini huu na kuchukua hatua
Source : Tz Daima pg 2 na Vyanzo vingine.
[h=2]Monday, October 15, 2012[/h] [h=3]JK ATUNUKIWA NISHANI YA JUU NA SULTAN WA OMAN[/h]
Posted by Khals at 9:40 PM Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook
Amewataka Waislamu na jamii ya Watanzania wapenda amani wasielekeze lawama kwa Waislam bali Waelekeze lawama kwa watawala walioingia madarakani kwa sera ya kuwagawa Watanzania kwa mfumo wa dini ili iwefundisho kwa watawala wanaotaka madaraka kwa kumwaga pesa katika nyumba za ibada.
Amewataka Maaskofu kutokuwa Wanafiki kwa kukwete kueleza ukweli juu ya Madhara yaliyoletwa na CCM kupitia Kipengele cha Mahakama ya kadhi bali wanapaswa kueleza ukweli hata kama watawala hao watatembelea Makanisa !!
Pando walilolipanda watawala sasa linaleta matunda na yafaa Waachie ngazi ili amani ipatikane.
Udini katika siasa ni Mbegu Mbaya kuliko hata maandamano ya kuutoa utawala na Msajili wa Vyama vya siasa anapaswa kuangalia vyama vilivyochocheo udini huu na kuchukua hatua
Source : Tz Daima pg 2 na Vyanzo vingine.
[h=2]Monday, October 15, 2012[/h] [h=3]JK ATUNUKIWA NISHANI YA JUU NA SULTAN WA OMAN[/h]
Posted by Khals at 9:40 PM Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook