Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Hoja yako ni hafifu sana, kutii mamlaka siyo kufanya kila kinachoamriwa. Biblia inasema kila jambo lipimwe kama linaendana na maandiko ndiyo unalitii kama linapingana na maandiko unaachana nalo hata kama limeamriwa na askofu/rais/mahakama etc.
Hata hivyo kuapa mahakamani si lazima.
Taib mukulu..Taib.