Mr.Toyo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2007
- 433
- 117
WACHUNGAJI wanane wa makanisa ya Kipentekoste wanaotoka jamii ya wafugaji wa Kimasai wilayani Arumeru wamezihama nyumba zao na kwenda mafichoni wakihofia kukamatwa, kuvuliwa nguo, kutembezwa mitaani na kutozwa faini dume la ngombe baada ya kudaiwa kwenda kinyume na mila, desturi na taratibu za jamii hiyo kuhusu sherehe za tohara kwa wanaume.
Waliokimbia nyumba zao kwa hofu hiyo ni pamoja na Mchungaji Edward Supeeti, Simon Sivai, Joel Hamisi na Loi Langasi huku wengine wakiwa ni Loishinde Mollel, Jonas Lebulu na Geofrey Jacob.
ENDELEA ZAIDI HAPA.
SOURCE: Mchungaji atembezwa uchi, saba wakimbia nyumba
Waliokimbia nyumba zao kwa hofu hiyo ni pamoja na Mchungaji Edward Supeeti, Simon Sivai, Joel Hamisi na Loi Langasi huku wengine wakiwa ni Loishinde Mollel, Jonas Lebulu na Geofrey Jacob.
ENDELEA ZAIDI HAPA.
SOURCE: Mchungaji atembezwa uchi, saba wakimbia nyumba