Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Send to a friend Saturday, 07 August 2010 10:04 (Mwananchi web version)
Gasper Andrew
New Kiomboi
MCHUNGAJI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), katika Kijiji cha Chemchem, wilayani Iramba, amehukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka muumini wake wa umri wa miaka 19.
Adhabu hiyo dhidi ya mchungaji Japhet Nakomolwa (26), inaambatana na kuchapwa viboko 12.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Mahakama ya Wilaya ya Iramba, baada ya kuridhishwa na ushahidi wa upande wa mashtaka katika kesi hiyo.
Hukumu hiyo ilisomwa na Hakimu Mkuu Mfawidhi Mrisho Kariho.
Mapema, Mwendesha Mashtaka Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Adamu Chasama, alidai kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Novemba 16 mwaka jana.
This is what will happned to our daughters if they go to church, Sio kwamba mafisadi na wezi wameingia kwenye siasa bali pia wahalifu na wahuni wanavaa majoho ya Mungu.
Gasper Andrew
New Kiomboi
MCHUNGAJI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), katika Kijiji cha Chemchem, wilayani Iramba, amehukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka muumini wake wa umri wa miaka 19.
Adhabu hiyo dhidi ya mchungaji Japhet Nakomolwa (26), inaambatana na kuchapwa viboko 12.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Mahakama ya Wilaya ya Iramba, baada ya kuridhishwa na ushahidi wa upande wa mashtaka katika kesi hiyo.
Hukumu hiyo ilisomwa na Hakimu Mkuu Mfawidhi Mrisho Kariho.
Mapema, Mwendesha Mashtaka Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Adamu Chasama, alidai kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Novemba 16 mwaka jana.
This is what will happned to our daughters if they go to church, Sio kwamba mafisadi na wezi wameingia kwenye siasa bali pia wahalifu na wahuni wanavaa majoho ya Mungu.