Isalia213
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,198
- 431
Nimebahatika kupata mchumba nadiriki kusema tunapendana ila kunatatizo linamsumbua mchumba wangu huwa baadhi ya usiku huingiliwa usingizini na akiamka huwa na dalili zote za kufanya ngono tena hapo huanza kunichukia mimi bila sababu kwa muda kama usiku tatu na baadhi ya siku kunambia hanitaki ila akisha tulia huwa na upendo mzuri tu kwangu wasiwasi wangu tukija kuona kweli tutadumu kwa hali hii au niachane nae kiukweli tunapendana.