Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,989
Kuna kitu kinaitwa the Power of Love, Dr Slaa ni mtu mzima au i can call him a old Man, ni mtu makini, msafi na Mzalendo wa kweli kwa nchi yake lakini siamini kamwe kama Mungu anaweza kumpendelea kila kitu akawa na uwezo wa kudhibiti the power of Woman.Inatowa maswali mengi sana.... Then unakuja upande wa kusema yeye pekee ndio katamka haya... Slaa na the CDM Crew wapo kimyaaaa... Alafu hapa hapa wanakuja mtu sababu ni CDM ana support... Tuki support hivi then ina maana hata wataposhika nchi itakuwa hivi hivi; sasa hapo kutakuwa na utofauti gani na sasa?
Kwanza Josephine bado mbichi tofauti na old Man na nimeshuhudia watu wengi makini lakini wamekuja kuangushwa na wanawake kwa ulevi tu wamapenzi ambao ndio mvinyo mmbaya zaidi hapa Duniani.
Mimi nadhani earlier is better, ni wakati mwafaka sasa kwa huyu Josephine afungwe speed Gavana kwani kuna siku hapa zilikuja thread za kumshambulia Dr Slaa na nilipozipima kwa umakini na kwa undani nikagunduwa ni Mwanamke ndio anayemsababishia mashambulizi yote haya, Dr Slaa alikuja yeye mwenyewe hapa kujibu hoja lakini kwa sisi tunaoangalia vitu kwa jicho la tatu, nadhani huyu Mwanamke ni lazima adhibitiwe mapema otherwise ataharibu Reputation ya Dr Slaa.
Najuwa kwa maandishi haya wapo watakaokuja na kuanza kuropoka lakini mimi nasema Josephine ni Profesional Woman aende akafanye kazi zake Profesional huku kwenye siasa hatutaki siasa za kina Salma Kikwete na Ridhiwani Kikwete. ni lazima Chadema ioneshe utofauti wake na CCM. Mbona mke wa Sumaye, JK Nyerere, Warioba, Salim na wengineo hawana vihelehele vya siasa!?