majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 564
Ni kweli. Je kuna namna unahisi labda nitumie kumfanya aweze kujihusisha na mambo ya usafi/kupika?
..........Ipo!, ni kumpiga chini tu ndo anaweza kujihusisha na mambo ya usafi/kupika akiwa kwao. vinginevyo muoe tu kwasababu nafsi yako imelalia upande huo wa kumuoa na hakikisha dawa za kutibu presha na maumivu ya kichwa hazikauki nyumbani kwako mkiishi nae pamoja kama mke na mume..