Kindimbajuu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 710
- 243
ahh raha kweli kweli
mpangiane zamu km vip
usiwe unafanya peke ako
wewe fanya j3 mpk j5 yeye alh mpk jumamos
jumapil afta chach muwe na genearal klniles muwe mnafanya pamoja
mhh kuna mkaka mmoja ana tatizo ilo...mkewe kutandika kitanda mwiko mashuka yapo vululu lulu ..shuka linakaa ata siku 8 kitandan na ili joto jaman dah...na choo kipo ndan bas kusafisha akuna tiles nyeussssssssssssssssss...full kunuka sink km la choo chamnaz mmoja puuuhhh!!!!!!!!!!!kinyaaaa hatar
ndo mnao iba waume za watu nyieeeeeeee. wewe chumbani kwa mkaka ulikwenda kufanya nini?