Mchumba ninayekaribia kumuoa simuelewi

ahh raha kweli kweli

mpangiane zamu km vip
usiwe unafanya peke ako
wewe fanya j3 mpk j5 yeye alh mpk jumamos
jumapil afta chach muwe na genearal klniles muwe mnafanya pamoja

mhh kuna mkaka mmoja ana tatizo ilo...mkewe kutandika kitanda mwiko mashuka yapo vululu lulu ..shuka linakaa ata siku 8 kitandan na ili joto jaman dah...na choo kipo ndan bas kusafisha akuna tiles nyeussssssssssssssssss...full kunuka sink km la choo chamnaz mmoja puuuhhh!!!!!!!!!!!kinyaaaa hatar

ndo mnao iba waume za watu nyieeeeeeee. wewe chumbani kwa mkaka ulikwenda kufanya nini?
 
Wanawake sisi tuna vipawa vya ziada,bila kujipanga unaweza ona dunia chungu,kazi,biashara,kazi za nyumbani,kazi za chumbani,kupokea wageni wekundu kila mwezi,kupanga uzazi,kulea watoto,n.k..kuna nyakati tunahitaji mapumziko ya hali ya juu na utulivu. Ongea nae kwamba huo ndio mpango mzima kwa mwanamke hata kama una msaidizi wa nyumbani. Kama anapenda sana tv jaribuni kuweka katv kadogo jikoni apike huku anafuatilia vipindi vyake (mweeh).
Angalizo: issue yake ya ujeuri na yako ya dharau na kejeli zinabomoa nyumba hata kama mnapendana kiasi gani. Nyama ya ulimi ni muhimu sana na inaepusha rabsha nyingi.
 
ndo mnao iba waume za watu nyieeeeeeee. wewe chumbani kwa mkaka ulikwenda kufanya nini?

Mmh, na wewe, si kaona kwenye bongo movie? Jamaa alikuwa anamtokea aliposema si una mke jamaa ikabidi aanze kuangusha hizo kasoro.
Ndo maana huwa nasema kwa hili hakuna muafaka, ikiwa ndani ya ndoa, natafuta other supporting document tuu, no discussion.
 
Hakuna kitu kilichonifurahisha kama self analysis yako na kukubali mapungufu.
You are one step ahead, ninakushauri kaa mjadili bila kutumia ukali; make her reason with you na especially hiyo ya kula junk food. Lakini kama wote ni wafanyakazi, mnaweza kuhire a help, mtu akawa anakuja anafanya usafi na kufua at least 4 times a week, huku mkijipanga jinsi ya kujitegemea.

Nina uhakika sababu ya kumpenda ni zaidi ya kuwa mfanyakazi wa nyumbani; hivyo basi, hizo shughuli mjadiliane zitafanyika vipi coz lazima zifanyike; mwambie aje na suggestion.

Hata kupika aje house help? Hata kufua nguo delicate? Ila kama kakulia maisha ya kimasaki si ajabu, mchukulie alivyo, ttafuteni ma house help, na hakikisha kwako watu hawaji mara nyingi utapoteza hadhi yako katika jamii. Andika bandiko hili kwako, 'MBWA MKALI 24 HOURS A DAY, HALALI HACHOKI'.
 
Atakuwa faida gani kwako au atakuwa umeoa kwa ajili ya kuangalia movie funguka mapema mweleze ukweli ikishindikana mpotezee.
 
Pengine hii inaweza kuwa test nzuri na kama hatobadilika kwa test hii basi itabidi amuache!

Pole sana kaka usiendelee kuumiza kichwa we unafaa kuwa mme kweli leta mdada wa kufanya kazi wa siku moja halafu akimaliza shughuli msifie mbele yake kwa kukejeli mwambie naomba mfundishe mchumba wangu kazi akileta mizengwe hapo ndo pa kuanza kumpaka
 
So you are smart human being eeeh....you can solve all your problems eeeh....then Smart as* just read and don't put comments which are negative especially when a fellow human being is asking for advice....you look like a fool
 
Tafuta marafiki ambao wako kwenye uhusiano unaokuvutia....then nenda na shemeji mspend time na hao couples wengine labda ataweza elewa nini unafikiria...au njia nyingine ni kumpa muda zaidi kabla ya kukimbilia kwenye ndoa...nina uhakika kuna ujinga ambao upo kwenye kichwa chake akiungundua lazima utatoka in the mean time lazima ukubali msemo wa waswahili ukipenda boga.....

Ila la kuzingatia kubwa kuliko yote kabla ya kuamua kutangaza ndoa, cross check, double check even triple check kama you are ready for the big step, mie sijaoa lakini sitapenda kuamamka kitanda kimoja na mdada ambaye nina manunguniko nae moyoni.

I hope this helps you .... mapenzi kitu cha kipekee aisee
 
Naomba ushauri wenu. Nina mchumba wangu tumekaa muda mrefu kama miaka 5 hivi. Sasa tumeona ni muda muafaka wa kuoana. Kipindi kirefu cha uhusiano wetu hatukuwa tunaishi pamoja as yeye alikuwa anasoma mkoa mwingine nami mwingine. Lakini hii haikupunguza mapenzi yetu maana tulikuwa tunawasiliana na kutembeleana mara kwa mara.

Sasa alimaliza chuo na kuanza kazi, na mimi pia nina kwangu. Tukawa tuko close zaidi na siku moja moja tunakaa pamoja nyumbani. Hili kufanya mambo yaende kwa heshima, tukafikia hatua ya kutambulishana kwa wazazi rasmi na kuanza kujipanga kwa ajili ya mahari na ndoa

Kuna tabia ambazo nimezigundua zinanikera na ninaomba ushauri.

1. Huyu binti ni mvivu
Anapenda kukaa kuangalia moviez tu. Moviez, kuchat thats it. Nyumba chafu nasafisha mwenyewe. Kila kitu kipo ndani(jiko, chakula), hataki kupika eti mpaka awe kwenye mood kwahiyo tunaishia kula chips. Nguo zangu chafu(hata za kwake) kufua ugomvi.

2. Kisirani
Mtu wa visirani, kujibu, kununa.

Sasa tunaelekea kwenye mahari lakini kichwa changu kinawaka moto. Hivi tu kwenye ndoa bado, tukiwa ndani ya ndoa si itakuwa balaa?

Mimi pia nina mapungufu yangu kama vile ni mkali sana, pia nina maneno ya kukejeli(wengine wanasema dharau), but mara nyingi nakuwa open sana sio mtu wa kuficha ficha.

Je nifanyeje? Binti nampenda, napenda niishi nae ila kwa style hii nyumba si itawaka moto?!

Ushauri


Ni rahisi zaidi kuvunja Uchumba kuliko kuvunja ndoa. Tafakari!
 
Jamani kuna makabila sito ya kuoa....wat if ni tabia yake katoka nayo nyumbani? Kuna makabila yanachapa kazi, yanajua kupenda na kusikiliza kwa umakini...sasa nyie mnaosema kila kabila lafaa kuolewa au kuoa subiri kujuta
 
mpingauonevu rudia kuisoma utaielewa kumkomoa kununua chipsi ndio vyombo asioshe,nguo asifue huyo ni mvivu wa asili mpaka kitandani atakuwa mvivu sema mtoa mada kaamua kumsitiri laazizi wake
yaelekea wewe ni msafi kupitiliza na kwa mimi wanaume wa jinsi hiyo huwa ni wasumbufu sana kwa wapenzi wao ama inawezekana wewe ni bahili sana sasa kutaka mkale chips anakukomoa tu, jirekebishe upande wako halafu na yeye mueleze ukweli lakini pia usifanye haraka kutangaza ndoa. mpaka sasa naamini hamuendani!
 
Last edited by a moderator:
Hata kupika aje house help? Hata kufua nguo delicate? Ila kama kakulia maisha ya kimasaki si ajabu, mchukulie alivyo, ttafuteni ma house help, na hakikisha kwako watu hawaji mara nyingi utapoteza hadhi yako katika jamii. Andika bandiko hili kwako, 'MBWA MKALI 24 HOURS A DAY, HALALI HACHOKI'.

Ha ha ha ha ha ha
 
Naomba ushauri wenu. Nina mchumba wangu tumekaa muda mrefu kama miaka 5 hivi. Sasa tumeona ni muda muafaka wa kuoana. Kipindi kirefu cha uhusiano wetu hatukuwa tunaishi pamoja as yeye alikuwa anasoma mkoa mwingine nami mwingine. Lakini hii haikupunguza mapenzi yetu maana tulikuwa tunawasiliana na kutembeleana mara kwa mara.

Sasa alimaliza chuo na kuanza kazi, na mimi pia nina kwangu. Tukawa tuko close zaidi na siku moja moja tunakaa pamoja nyumbani. Hili kufanya mambo yaende kwa heshima, tukafikia hatua ya kutambulishana kwa wazazi rasmi na kuanza kujipanga kwa ajili ya mahari na ndoa

Kuna tabia ambazo nimezigundua zinanikera na ninaomba ushauri.

1. Huyu binti ni mvivu
Anapenda kukaa kuangalia moviez tu. Moviez, kuchat thats it. Nyumba chafu nasafisha mwenyewe. Kila kitu kipo ndani(jiko, chakula), hataki kupika eti mpaka awe kwenye mood kwahiyo tunaishia kula chips. Nguo zangu chafu(hata za kwake) kufua ugomvi.

2. Kisirani
Mtu wa visirani, kujibu, kununa.

Sasa tunaelekea kwenye mahari lakini kichwa changu kinawaka moto. Hivi tu kwenye ndoa bado, tukiwa ndani ya ndoa si itakuwa balaa?

Mimi pia nina mapungufu yangu kama vile ni mkali sana, pia nina maneno ya kukejeli(wengine wanasema dharau), but mara nyingi nakuwa open sana sio mtu wa kuficha ficha.

Je nifanyeje? Binti nampenda, napenda niishi nae ila kwa style hii nyumba si itawaka moto?!

Ushauri

Duuh....ushauri wangu kwa vile wewe mwenyewe umekubali kuwa unampenda kiasi cha kutaka kumuoa, ni vizuri uyafanyie kazi hayo mapungufu ikiwezekana kwa kutumia nguvu manake kama kubembeleza imeonekana haina tija. Maisha katika nyumba ni jinsi wewe mwenyewe mwanaume unavyotaka yawe. Sometimes tabia halisi ya mtu huonekana pale anapokuwa amekasirika, jaribu siku moja kumhimiza afue nguo then akigoma mpe kofi moja la haja uone reaction yake...! Kwa kuleta hiyo chachu unaweza kupata mengi zaidi ya haya uliyosema....!
 
Mkuu ni vyema kama umesoma vizuri ushauri wa Ma-great thinker.
Tulia na tafakari kwa kina(Think great) kama huyo mpenzi wako kama anafaa kuwa wife au hafai.
Vinginevyo hakuna la zaidi mkuu tutakuwa tunacopy na kupaste.
 
.......Aisee huyo mdada inaelekea ndio wale wanaopenda kuonekana nje wasafi kumbe ndani wachafu.
Sifa ya mwanamke ni kujua na kupenda kupika na usafi. Sasa kama hivyo hawezi ni kasheshe!!
Mimi ninachoweza kusema, ndoa si lelemama......na hapo bado hajazaa mvivu hivyo!! Je mkija kupata
watoto itakuwaje?

.......Inabidi ujiulize mwenyewe je upo tayari kuvumilia kuwa na mtu mchafu? Asiyependa kupika?
Kwa maana ndoa ni kuvumiliana, hivyo kama utavumilia uchafu wa huyo dada go ahead!!!
Ila kama wewe ni msafi na mtu wa dharau, mhhhhhhhh!! Ndoa itakuja kukushinda kwa tabia za huyo dada.
 
mkuu huyo mtu namfaham vizuri sana, ndo alivyo! kila siku lazima ajiunge xtreme! anaandika sms bila hata kuangalia cm! na cm inalock kibao. For confirmation nipm nikutajie mpaka jina lake
 
Naomba ushauri wenu. Nina mchumba wangu tumekaa muda mrefu kama miaka 5 hivi. Sasa tumeona ni muda muafaka wa kuoana. Kipindi kirefu cha uhusiano wetu hatukuwa tunaishi pamoja as yeye alikuwa anasoma mkoa mwingine nami mwingine. Lakini hii haikupunguza mapenzi yetu maana tulikuwa tunawasiliana na kutembeleana mara kwa mara.

Sasa alimaliza chuo na kuanza kazi, na mimi pia nina kwangu. Tukawa tuko close zaidi na siku moja moja tunakaa pamoja nyumbani. Hili kufanya mambo yaende kwa heshima, tukafikia hatua ya kutambulishana kwa wazazi rasmi na kuanza kujipanga kwa ajili ya mahari na ndoa

Kuna tabia ambazo nimezigundua zinanikera na ninaomba ushauri.

1. Huyu binti ni mvivu
Anapenda kukaa kuangalia moviez tu. Moviez, kuchat thats it. Nyumba chafu nasafisha mwenyewe. Kila kitu kipo ndani(jiko, chakula), hataki kupika eti mpaka awe kwenye mood kwahiyo tunaishia kula chips. Nguo zangu chafu(hata za kwake) kufua ugomvi.

2. Kisirani
Mtu wa visirani, kujibu, kununa.

Sasa tunaelekea kwenye mahari lakini kichwa changu kinawaka moto. Hivi tu kwenye ndoa bado, tukiwa ndani ya ndoa si itakuwa balaa?

Mimi pia nina mapungufu yangu kama vile ni mkali sana, pia nina maneno ya kukejeli(wengine wanasema dharau), but mara nyingi nakuwa open sana sio mtu wa kuficha ficha.

Je nifanyeje? Binti nampenda, napenda niishi nae ila kwa style hii nyumba si itawaka moto?!

Ushauri

Yaani madudu yote hayo USHAURI wa nini?? Something wrong in your brain... JITAMBUE Mwanaume...
 
loh The secretary ni kweli kabisa....

Huyo binti ana kipaji maalum cha uvivu aisee.....

Sipati picha akiolewa halafu awe ananyonyesha maweeeeeeeee
nahisi atakuwa anachuruzika maziwa..... Nepi zenye nnya ya mtoto kuanzia uvunguni mwa kitanda hadi kibarazani.....

Mlima wa vyombo vichafu......
Nywele hazitamaniki....
Katoto katakuwa kananuka mikojo......tongotongo uso mzima....

Mmmmh walaahhhhhhhhh kazi ipo

pwenti....nkitumia pc ntakugongea like
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom