Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Yaani umeshindwa kum-face ukamweleza tabia ambazo huzifurahii na ukamshauri abadilike unakuja kushtaki jf! Halafu unajisifu we mkali.
Ennie hajaja kushitaki, kaleta mada tu, changia ama usichangie. Naona kama unauliza maswali badala ya kutoa ushauri.