Tigga Mumba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 746
- 473
Nawasalimia...
Mchumba ninayekaribia kumuoa(early next year) ni mjamzito wa miezi michache ya kwanza.
Mahari ilikwishatolewa, sasa tuko kwenye vikao vya harusi/sendoff.
Tatizo sasa;
dakika moja katapika.... Yani nahisi anajifanyisha..... Analegea akisimama kidogo eti amechoka.....
Hivi ni kweli ujauzito mdogo wa ki embryo unakuwa hivi? Sasa miezi 9 si balaa....
Hakukaliki!! Nahisi anazidisha kudeka.....
Wenye experience nisaidieni pls
Mchumba ninayekaribia kumuoa(early next year) ni mjamzito wa miezi michache ya kwanza.
Mahari ilikwishatolewa, sasa tuko kwenye vikao vya harusi/sendoff.
Tatizo sasa;
dakika moja katapika.... Yani nahisi anajifanyisha..... Analegea akisimama kidogo eti amechoka.....
Hivi ni kweli ujauzito mdogo wa ki embryo unakuwa hivi? Sasa miezi 9 si balaa....
Hakukaliki!! Nahisi anazidisha kudeka.....
Wenye experience nisaidieni pls