Mchumba/mume mtarajiwa anahitajika

Nina miaka 25, nahitaji mwanaume(sio wa Dar). Awe na miaka 27_32. Asiwe cheusi mangala, aliye tayari anipm

Nb. AWE TAYARI KUPIMA AFYA(HIV/AIDS) na magonjwa mengine

Una elimu gani?
Umeajiriwa ama umejiajiri?
Unajitegemea ama bado uko kwa wazazi?
Una kipato gani?
Cv yako ya mahusiano in summary kwa page za A4 zisizozidi tano!
 
Nina miaka 25, nahitaji mwanaume(sio wa Dar). Awe na miaka 27_32. Asiwe cheusi mangala, aliye tayari anipm

Nb. AWE TAYARI KUPIMA AFYA(HIV/AIDS) na magonjwa mengine
Fafanua uko wapi
Unahitaj mchumba wa aina gan...it means physical appearance......sifa
Na kwa umr huo why ujaweza pata mchumba
 
Nina miaka 25, nahitaji mwanaume(sio wa Dar). Awe na miaka 27_32. Asiwe cheusi mangala, aliye tayari anipm

Nb. AWE TAYARI KUPIMA AFYA(HIV/AIDS) na magonjwa mengine
Hivi mtu anaweza pata mume/mke mtandaoni. Tupeni ushuhuda kabla hajapm.
 
Now naanza kuona dar inaanza kupoteza sifa za kutoa vijana waoaji duuu hii hatari kwa kigezo chicho inaonesha jinsi gani hata ww unauwezo mdogo wa kufikiri na kupambana na changamoto hivyo ni vigumu san kufanikiwa kwa hili?
 
  • Thanks
Reactions: CMT
Nina miaka 25, nahitaji mwanaume(sio wa Dar). Awe na miaka 27_32. Asiwe cheusi mangala, aliye tayari anipm

Nb. AWE TAYARI KUPIMA AFYA(HIV/AIDS) na magonjwa mengine
Tangazo umeweka public then unataka tukatongozeane PM. Huu utapeli. Mimi niko interested ila huko PM siji kama unaniruhusu nianze kumwaga mistari humu humu live bila chenga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom