BadoNipo
Senior Member
- Jul 4, 2008
- 170
- 28
Ni kiasi gani cha muda mtu anahitaji kusahau... Tatizo lipo hapo natamani ningeweza kuchukua uamuzi tofauti, kwani tangu nilipojua nimekosa amani, the Body is willing but the Spirit is too weak, kifupi nampenda sana huyu binti, itz just i cant live with the fact kuwa kuna wageni walimtembelea.
Chichi, pole sana.
ushauri wangu kwako ni kumwacha huyo mwanamke kwani sio mwaminifu na mkweli. yaani ndani ya miezi mitano amemegwa na wanaume wawili? hiyo ni hatari sana je mngekuwa mbali kwa mwaka mzima so ndo angemegwa hata na wanaume watano. hiyo ni tabia yake so hata mkioana lazima atatoka nje ya ndoa.hakufai huyo Chichi.