Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
hahahaaaaa NN bana,nilijua tu....style betrayed you/Kaka, mbona umenishikia bango sana na hii ID yangu?
Haya, ngoja nikurahisishie kazi basi...mimi ndiye Nyani Ngabu. Umefurahi sasa?
hahahaaaaa NN bana,nilijua tu....style betrayed you/Kaka, mbona umenishikia bango sana na hii ID yangu?
Haya, ngoja nikurahisishie kazi basi...mimi ndiye Nyani Ngabu. Umefurahi sasa?
hahah....@ nitonye, kumbe wewe ni mlaini eeh! Kongosho ngoja nami nikausome huo uzi ili nicheke kwa laudi spika.....lol!!!
Sekunde ya mwisho imenoga ehhh???"
hahahaaaaa NN bana,nilijua tu....style betrayed you/
Njoo hapa Mwenge nimefungua kibanda cha kukodisha simu za ukweli.
we kongosho wewe!......i love you......naomba unizalie.....Pole weee, nyie mtaishia kusindikiza msafara tu.....mwenge hamuugusi ng'ooo!!!
hivi dume zima libeba mabox juu ya nini kujiita chuchu?
hahahaaaaa NN bana,nilijua tu....style betrayed you/
Nimeshampa za uso huyo anayejiita mr. Chuo
Sio Nchuchu ni Bwa'Nchuchu. . .
Alafu Bishanga kwani tatizo liko wapi haswa?Mwache Bwa'Nchuchu awe.
Za weekend fresh tu. . .hongereni kwa kushinda.
What do you think....? Au umesahau jina langu....? lol
following Mkuu NN kujilipua,na out of respect kwa tendo hilo la kishujaa nafuta post yangu hapo juu maana nilii compose kabla ya tukio hili la kitaifa.
NN RESPECT my brother!!!
nakuaminia kamanda NN! You know what, hakuna kitu na admire kama brain,we ni kichwa aisee,hoja zako zimesimama hata kama sikubaliani nazo all the time, lakini nina appreciate thinking ability yako. Hakuna kitu napenda kama mental acrobatics,!Kaka, wala sio style betrayed me. Everything is done by design. Sasa wewe na wengine mnadhani kuwa mmegundua wakati mimi wala lengo langu halikuwa ku conceal my ID.
Ningetaka ku conceal ID yangu ningeweza kwani uwezo huo ninao. Sasa hapa wala hilo halikuwa lengo langu. Kilichobadilika ni jina tu na nimefanya hivyo makusudi kabisa.
Sasa wewe na wengine kama mnataka kuji-pat on the back kwa kupatia...then go right ahead. But just know that I made it so easy for you guys to guess...if I had wanted to hide, I would have done it. But hiding was never my intention to begin with.
we kongosho wewe!......i love you......naomba unizalie.....
nakuaminia kamanda NN! You know what, hakuna kitu na admire kama brain,we ni kichwa aisee,hoja zako zimesimama hata kama sikubaliani nazo all the time, lakini nina appreciate thinking ability yako. Hakuna kitu napenda kama mental acrobatics,!
mbona hujajibu post yangu ya saa 20:50 pm leo?linazo kubwa kubwa
kama binti wa wa miaka 16
afu si ndo yule mwimbaji kama mtata hivi
sijui nakanyagwa, mara napakwa
What do you think....? Au umesahau jina langu....? lol