Hizo picha zimenifanya nione kuwa habari yenyewe haijafanyiwa uchunguzi wa kina. Pinda alishatangaza kustaafu kabisa siasa 2015, leo anawekwa kundi la wasaka urais? Nonsense! Eti Nahodha anataka urais wa muungano??? hivi mwandishi wa hiyo habari mzima upstairs???
mdau,,,,hao huwa wanakuja na ile sound ya kuombwa na wazee,,,maneno ya PINDA,SI SAWA NA YA NABII ISSA AU MTUME MUHAMMAD,,,,,,