Cyprian shayo
Member
- Sep 25, 2011
- 17
- 0
umewai kuumizwa ktk mapenz? Wachina wamekulea kifaa maalum cha kuepusha tatizo hilo lisitokee tena maumivu proof.ntazid kuwajuza juu ya hili. Endelea kunifuatilia
akyamungu....kama ni hivyo watatumaliza
tunajimaliza wenyewe kwani huwa wanamfuata mtu nyumbani kwake au wanakulazimisha kutumia ni ulimbukeni wa maisha ndo unatuponza:lol::lock1:
umewai kuumizwa ktk mapenz? Wachina wamekulea kifaa maalum cha kuepusha tatizo hilo lisitokee tena maumivu proof.ntazid kuwajuza juu ya hili. Endelea kunifuatilia
Hata sijaelewa hapa haki ya Mungu...........................!
mmmk kazii kweli kweli , hao wenze2 kweli balaa........... embu endelea ku2juza zaid ndugu.
umewai kuumizwa ktk mapenz? Wachina wamekulea kifaa maalum cha kuepusha tatizo hilo lisitokee tena maumivu proof.ntazid kuwajuza juu ya hili. Endelea kunifuatilia
Mkuu, asiyejua maana haambiwi maana... ni mwendo wa kichina china, hata maelezo ni ya kichina piaHata sijaelewa hapa haki ya Mungu...........................!