Chinese boy
Member
- Jun 16, 2009
- 10
- 0
Januari Tarehe 21,2009 Kulikuwa na Shamra Shamra za Kusisimua pale sehemu moja ya jiji la Wuhan Pale ambapo wachina wameshuhudia moja ya matukio machache sana ambapo kijana wao amejitosa na kuopoa mrembo wa Ki Ethiopia.Huyu Jamaa amekutana na binti akiwa kule Ethiopia
katika huduma ya Utabibu.Na binti hajui Kichina haha!
Kwa Wachina hii case ni very rare,maana mara nyingi wameshuhudia tu vijana wa ki'Afrika wakioa mabinti zao.Ukizingatia kuwa Nchini China wanawake ni wachache kulinganisha na idadi ya Wanaume,Wanaume wengi wa Kichina wamejenga chuki kiaina na Waafrika wanaochukua mabinti zao kama girlfriends au wake.Lakini tukio hili limeonekana kuwa ni furaha sana kwao na kwa haraka hakuna aliyeonekana kupinga,maana wengi hawapendezwi pale Mwafrika anapooa binti wa kichina.
Nafikiri matukio kama haya yatawapa faraja wachina wanaume wengi ambapo wamekuwa hawana Confidence ya kuwa wanaweza kuwa na mabinti wa Kiafrika.
Najua pale Arusha kuna binti mmoja kaoana na Mchina Actect fulani
Ila sikufanikiwa kupata Story yake vizuri.Kama kuna cases nyingine naomba wadau mnipe data.
Angalia Link Hii Hapa ambapo TV moja iliamua kulifuatilia hili jambo vilivyo.
http://www.56.com/u75/v_NDE1MDE4MzI.html
Ingekuwa ni matukio ya Waafrica kuoa mabinti wa Kichina najua wangeshindwa chagua wa oneshe ndoa ipi maana ni nyingi sana,lakini
katika hili kulikuwa na Special Excitment kwa Watazamaji...
katika huduma ya Utabibu.Na binti hajui Kichina haha!
Kwa Wachina hii case ni very rare,maana mara nyingi wameshuhudia tu vijana wa ki'Afrika wakioa mabinti zao.Ukizingatia kuwa Nchini China wanawake ni wachache kulinganisha na idadi ya Wanaume,Wanaume wengi wa Kichina wamejenga chuki kiaina na Waafrika wanaochukua mabinti zao kama girlfriends au wake.Lakini tukio hili limeonekana kuwa ni furaha sana kwao na kwa haraka hakuna aliyeonekana kupinga,maana wengi hawapendezwi pale Mwafrika anapooa binti wa kichina.
Nafikiri matukio kama haya yatawapa faraja wachina wanaume wengi ambapo wamekuwa hawana Confidence ya kuwa wanaweza kuwa na mabinti wa Kiafrika.
Najua pale Arusha kuna binti mmoja kaoana na Mchina Actect fulani
Ila sikufanikiwa kupata Story yake vizuri.Kama kuna cases nyingine naomba wadau mnipe data.
Angalia Link Hii Hapa ambapo TV moja iliamua kulifuatilia hili jambo vilivyo.
http://www.56.com/u75/v_NDE1MDE4MzI.html
Ingekuwa ni matukio ya Waafrica kuoa mabinti wa Kichina najua wangeshindwa chagua wa oneshe ndoa ipi maana ni nyingi sana,lakini
katika hili kulikuwa na Special Excitment kwa Watazamaji...