Mchicha na Matembele ya Bonde la Msimbazi vitatuua

Bassanda

Member
May 14, 2009
53
3
Maji yanayotumika kumwagilia mbogamboga katika bonde la mto Msimbazi. Miwa na mapapai
pia vinapatikana kwa wingi.
Hapo ni chini ya daraja lililopo eneo la Kigogo Sambusa.


Msimbazi1.jpg

Msimbazi2.jpg
 
kama haya ndio maji ya kumwagilia ndio maana umri wa kuishi kwa mtanzania unazidi kupungua kadri siku zinavyokwenda
 
tuna wanamazingira, maafisa afya na kila kitu lakini bado biashara inakua na sisi wananchi tunaendela kununua mazao ya bonde la msimbazi

ni dizasta
 
Watanzania hatuna utamaduni wa kujali mpaka afya zetu tunazifanyia uzembe,tunasubiri madhara yatukute ndo tuanze kushangaaa,kwa mwendo huu wa kujirusha let us continue dying....there is no regret to such neglegence!!
 
So who are you complaining to? What action are you going to take. There are actions you can take. Stop eating those veges. In the long run it will deprive the growers and vendors of their market and they will stop producing. I did. Or start sensitising other people about the dangers of Msimbazi valley produce. Or sensitise the growers on the damage they are causing to their customers' health. And more. Stop mourning you young people, take action. But then most of you are not here in Bongo. You can afford to groan and grunt from the comfort of distant lands.
 
So who are you complaining to? What action are you going to take. There are actions you can take. Stop eating those veges. In the long run it will deprive the growers and vendors of their market and they will stop producing. I did. Or start sensitising other people about the dangers of Msimbazi valley produce. Or sensitise the growers on the damage they are causing to their customers' health. And more. Stop mourning you young people, take action. But then most of you are not here in Bongo. You can afford to groan and grunt from the comfort of distant lands.
hapo unaangalia upande mmoja tu wa consumer na producer- mbona huzungumzii wachafuzi wa hayo maji kushughulikiwa?!. Yaaaaaaaani tumehalalisha utiririshaji wa maji machafu kwenye mabonde?!.
 
ndo maana juice za miwa pale k/koo wanaongezea ndimu na vikolombwezo kibao ili ku-neutralize ladha.
 
Kwa Kweli maisha ya wakazi wa Dar yapo hatarini sana.......

Wafanyabiashara wanachojali ni kile kinachoingia mifukoni mwao na sio kinachoingia tumboni mwako.....

Mambo kama haya yananipa nguvu ya kurudi kijijini!!....nikamalizie umri wangu huko
 
Kwa Kweli maisha ya wakazi wa Dar yapo hatarini sana.......

Wafanyabiashara wanachojali ni kile kinachoingia mifukoni mwao na sio kinachoingia tumboni mwako.....

Mambo kama haya yananipa nguvu ya kurudi kijijini!!....nikamalizie umri wangu huko

Mungu atunusuru
 
Maji yanayotumika kumwagilia mbogamboga katika bonde la mto Msimbazi. Miwa na mapapai
pia vinapatikana kwa wingi.
Hapo ni chini ya daraja lililopo eneo la Kigogo Sambusa.


View attachment 32820

View attachment 32821
Dar es salaam kuna watu wenye uelewa na wasio, wapo wanaojali na wasiojali. Je, mboga za majani ambazo ni salama zinapatikana?
Heri utoe sh 1000 kununua mboga salama iliyotunzwa kwa njia asili na kumwagiliwa maji yanayofaa. Shughuli hii inaweza kufanyika nje ya mji.

Tuwe wabunifu tutoe huduma bora:
Ikiwa wauza maziwa mikoa huuza maziwa kwa bili ni vema wakazi wa Dar nao wakajaribu kununua mboga bora kwa bili iwe kila baada ya siku moja, mbili n.k.
Mtu anayeingia mkatabata wa kutoa huduma anakuwa amejifunga ktk mkataba. mteja anaweza kuomba kujua jinsi uzalishaji wa bidhaa unavyofanyika.

Haya ni mawazo yangu ktk changamoto hii. natarajia kuona maoni zaidi.
 
Back
Top Bottom