hasason JF-Expert Member Sep 19, 2012 1,648 1,538 Sep 27, 2012 #1 Ivi ni nani ambaye hajawahi kucheza mchezo wa kimamamama au kombolela na ulipokuwa unacheza ulicheza kama nani?
Ivi ni nani ambaye hajawahi kucheza mchezo wa kimamamama au kombolela na ulipokuwa unacheza ulicheza kama nani?
Asulo JF-Expert Member Jun 25, 2012 719 251 Sep 27, 2012 #2 Sema wewe kwanza ulikuwa unacheza kama nani? Siyo unatuuliza wakati wewe hujisemi@hasason
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Sep 28, 2012 #3 mimi nilikuwa nacheza kama baba halafu kipengele cha kulala kilifurahisha zaidi kilinogaje hasa mchezo wenyewe uwe kwenye pagare.
mimi nilikuwa nacheza kama baba halafu kipengele cha kulala kilifurahisha zaidi kilinogaje hasa mchezo wenyewe uwe kwenye pagare.
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,817 93,472 Sep 28, 2012 #7 The funny thing watu walikuwa wakicheza ki-baba baba au mama mama na kaka zao au dada zao