GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Naanza kwa kukuomba Mkuu INVISIBLE kama inawezekana Thread hii ibaki nje ya ule mjadala tumulike vema macho hapa wadau.
Kama walivyofanya katika Bajeti na kama kawaida yao kutuhadaa kwa Umeme wa muda mfupi na Baadaye kuukata Jumla. Maeneo korofi huko Mwanza ikiwemo Ilemela vilipo vituo vya matangazo ya Radio na TV vya Sahara (Star TV na ndugu zake) Umeme umewaka huko muda si mrefu na hii ni baada ya jana wananchi kupiga kelele zilizopitiliza kupitia Radio na TV.
Meneja wa TANESCO Mwanza alidai kuwa mahitaji yao ni Mega Watt 42 na kuwa sasa wanapata MegaWATT 4 tu ambazo kazigawa katika mahospitali, viwanda na mashine za kusukuma maji. kwa hiyo hana maarifa na hekima zaidi ya hapo. Akizungumza kama nilivyomsikia jana kupitia KISS FM jioni.
Sasa Muda huu naarifiwa kuwa Umeme umewaka katika ujasiriamali uliopo huko Ilemela na maeneo mengine sugu Mwanza, huu ni Mchezo mchafu hasa baada ya kusikia kuwa Jioni Ngeleja anatakiwa kutoa tamko kuhusu hali hii.
My TAKE:
Kama walivyofanya katika Bajeti na kama kawaida yao kutuhadaa kwa Umeme wa muda mfupi na Baadaye kuukata Jumla. Maeneo korofi huko Mwanza ikiwemo Ilemela vilipo vituo vya matangazo ya Radio na TV vya Sahara (Star TV na ndugu zake) Umeme umewaka huko muda si mrefu na hii ni baada ya jana wananchi kupiga kelele zilizopitiliza kupitia Radio na TV.
Meneja wa TANESCO Mwanza alidai kuwa mahitaji yao ni Mega Watt 42 na kuwa sasa wanapata MegaWATT 4 tu ambazo kazigawa katika mahospitali, viwanda na mashine za kusukuma maji. kwa hiyo hana maarifa na hekima zaidi ya hapo. Akizungumza kama nilivyomsikia jana kupitia KISS FM jioni.
Sasa Muda huu naarifiwa kuwa Umeme umewaka katika ujasiriamali uliopo huko Ilemela na maeneo mengine sugu Mwanza, huu ni Mchezo mchafu hasa baada ya kusikia kuwa Jioni Ngeleja anatakiwa kutoa tamko kuhusu hali hii.
My TAKE:
- Ni kupoza makali ya Hoja ya Wenje kwa kuwahadaa wakazi wa Mwanza
- Ni kuonyesha kuwa serikali ni sikivu inajali
- Au ndio tuchukue maamuzi magumu maana hawatendi mpaka washinikizwe