grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Kuna jamaa hapa ananiambia ile staili ya Yanga inaitwa "European Four". Labda wakienda mikoani tena watakuwa wanalala Kongo ili kuepuka "European Four" na kuogea kopo la kunywea mbege.Ingekuwa bora kama angejenga hiyo hoteli Mwananyamala au angekarabati jengo la klabu jangwani ili kuepusha wachezaji kulala mzungu foo.
Mchezaji wa Yanga ya Dsm anajenga Kinshasa? Ova My Dedi Bode....