Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Pamoja na wachezaji kucheza kwa kiwango cha hali ya juu hakika katika mpira nidhamu ni kitu cha muhimu sana sana;
jana kwa walioangalia mpira kuna kijana ambae leo kwenye gazeti la dar leo kapongezwa na maximo na kweli alicheza vizuri sana ila nafikiri maximo anaitajika kumfundisha awe na adabu uwanjani;mechi ya jana wacha walio uwanjani hadi watoto wadogo wanangalia;anaitwa ABDULHALIM alikuwa amesuka nywele zake,ni mchezaji mzuri sana kama mlivyokuwa mkiona alikuwa akikabana na mchezaji mmoja wa ivory coast,,
Baada ya mechi kuisha ,huyu bwana akamfwata kama anampa fairplay kwa yaliotokoea uwanjani;yule mchezaji akampa mikono miwili kwa heshima gafla jamaa akasukuma akaanza kuongea maneno ya kipumbavu mpaka refa akamfwata baadae maximo akamzuia;
Hawa ndio wachezaji tunatarajia waende kucheza hata sweden loh?shame on u.mpira ukiisha mnamaliza matatizo yenu kama unaitaji kuwa international player,kama uamini abdul subiri yatakayomkuta boban .utakumbuka ninachokwambia kakangu,kama mtakuwa na uchezaji mzuri bila nidhamu mtaishia na patririon ya kuja bongo bila police.....,
Tunaomba viongozi wetu wajue jinsi ya kuwafuundisha awa watu;wazima
jana kwa walioangalia mpira kuna kijana ambae leo kwenye gazeti la dar leo kapongezwa na maximo na kweli alicheza vizuri sana ila nafikiri maximo anaitajika kumfundisha awe na adabu uwanjani;mechi ya jana wacha walio uwanjani hadi watoto wadogo wanangalia;anaitwa ABDULHALIM alikuwa amesuka nywele zake,ni mchezaji mzuri sana kama mlivyokuwa mkiona alikuwa akikabana na mchezaji mmoja wa ivory coast,,
Baada ya mechi kuisha ,huyu bwana akamfwata kama anampa fairplay kwa yaliotokoea uwanjani;yule mchezaji akampa mikono miwili kwa heshima gafla jamaa akasukuma akaanza kuongea maneno ya kipumbavu mpaka refa akamfwata baadae maximo akamzuia;
Hawa ndio wachezaji tunatarajia waende kucheza hata sweden loh?shame on u.mpira ukiisha mnamaliza matatizo yenu kama unaitaji kuwa international player,kama uamini abdul subiri yatakayomkuta boban .utakumbuka ninachokwambia kakangu,kama mtakuwa na uchezaji mzuri bila nidhamu mtaishia na patririon ya kuja bongo bila police.....,
Tunaomba viongozi wetu wajue jinsi ya kuwafuundisha awa watu;wazima