Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Magogoni, Upanga (JWTZ), Kijitonyama (TISS), Muhimbili, Pugu Road (RTD), Mtaa wa Ghana (Mambo ya Ndani), suites za mabalozi, hawatakiwi wategemee umeme wa TANESCO. Backup power za kwenda usiku kucha inabidi ziwepo.
Kama Invisible ameweza ku back up power kwa servers zake umeme ulipokatika nchi nzima nategemea security functionaries wa Ikulu wana backup pia. I really hope so.
Usije kushangaa tu kuambiwa kwamba hawana back-up power kwenye hayo maeneo nyeti, wala si ajabu kwa nchi hii!