Uongozi wa wizara utatupatia update muda si mrefu hivi... wanasubiri maelezo toka Tanesco.
Tanga mkuu... Wanajitahidi kuweka hali sawa. Ni tangia Saa 12 za jioni na tatizo lilikuwa kwenye Gridi ya Taifa.
Hiyo itakuwa kesho tena mkuu! Na kagizagiza hako I can imagine jinsi ambavyo mibaba ya huko wizarani ilikuwa inachekelea kuwatomasa mabaa medi!
Tanga mkuu... Wanajitahidi kuweka hali sawa. Ni tangia Saa 12 za jioni na tatizo lilikuwa kwenye Gridi ya Taifa.
Hatari sana kwa usalama wa taifa...
Singida wanategemea kuanza kutumia umeme wa nguvu za upepo muda wowote katika mwaka huu. Jumla ya windmill 24 zinasimamishwa ambazo zitakuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 50 za umeme, sawa na asilimia 10 za matumizi ya umeme wote wa Tz kwa siku.Singida inapata umeme toka chanzo gani?
Tanga hata waliweka mambo sawa, uwezo wao ni mdogo kutosheleza nchi nzima.
Ushi, kukosekana umeme usiku huu kuna uhusiano gani na usalama wa Taifa?
Kunapo kuwa na giza mkuu, si rahisi sana kulinda maeneo nyeti....
Si umemsikia Mchukia ufisadi anasema hata wale wanaopata umeme toka Uganda nao ulikatika so! ilikuwa ni kuzuia watu wasione taarifa za habari ili kuficha aibu/madudu yanayoendelea katika udahili wa wanafunzi pale UDSM.