Mchemsho wa kwanza wa Zuma

Tuache uvivu wa kufuatilia mambo jamani..hili suala liko wazi mbona, zuma kamwalika Omari Bashir na hii inamaana moja tu, hakubaliani na tamko la mahakama ya kimataifa...kumbuka SA haikushikiwa BAKORA kusaini uanachama wa jumuiya hiyo. Sasa we huoni kama kayumba kwa kwenda kinyume. Unataka kutuambia kuwa vyombo vya habari vya nje vimedanganya suala hili au ndo tuseme kukurupuka kimtazamo??? Mi kwa mtazamo wangu kinachoendelea afrika na dunia ni lazima tufuatilie kwani inaweza kuleta athari kwetu pia, kumbuka Tanzania si kisiwa kiasi inyamazie masuala yanayoendelea kwa wenzetu.

Wewe acha long longo!

Juzi mbona Bashir alikuwa Doha kwenye Arab League Summit..na Ban Ki-Moon..mbona hamkumshikia bango Ban..ambaye ndo katibu mkuu wa UN asiende? UN inayopaswa kulinda hizo haki za binadamu mbona hamkuikalipia? Ok TZ ni signatory wa ICC..umefuatilia kauli za Membe?....ofcourse waafrika inabidi tujilaumu..wakati tunasaini hii mikataba tunawatuma akina Chitalilo..ambao hawaangalii implications zake in ten to twenty years..ahead...wenzetu wanafanya thorogh analysis..ndo maana US mpaka leo kakataa..Leo waafrika waliosaini huu mkataba ni 30! hawakujua kwamba wao ndo watakuwa clients wakubwa wa hii mahakama!

I personally support ICC..ikamate itupilie mbali haya majangili akina Bashir na wengineo..lakini ukweli ni kwamba ICC haiwezi kuwa muarobaini wa matatizo yetu. Kusema kwamba Zuma kamkaribisha Bashir kwenye inauguration..it may seem a breach of an international obligation towards ICC..lakini siku hizi hao hao vinara wakubwa ndo wanaongoza kwa kuvunja hiyo international law..ndo maana no body cares with international law anymore.ni sisi wenye njaa ndo tunalialia....leo ukiona vidume akina N. Korea au Iran wanajisimamia..kutengeneza Nuclear bombs...wanajua fika kabisa..wanaowashikia bango..wao ndo namba moja kuvunja hizo sheria..Ni unafiki na ubatili mtupu!
 
Wewe acha long longo!

Juzi mbona Bashir alikuwa Doha kwenye Arab League Summit..na Ban Ki-Moon..mbona hamkumshikia bango Ban..ambaye ndo katibu mkuu wa UN asiende? UN inayopaswa kulinda hizo haki za binadamu mbona hamkuikalipia? Ok TZ ni signatory wa ICC..umefuatilia kauli za Membe?....ofcourse waafrika inabidi tujilaumu..wakati tunasaini hii mikataba tunawatuma akina Chitalilo..ambao hawaangalii implications zake in ten to twenty years..ahead...wenzetu wanafanya thorogh analysis..ndo maana US mpaka leo kakataa..Leo waafrika waliosaini huu mkataba ni 30! hawakujua kwamba wao ndo watakuwa clients wakubwa wa hii mahakama!

I personally support ICC..ikamate itupilie mbali haya majangili akina Bashir na wengineo..lakini ukweli ni kwamba ICC haiwezi kuwa muarobaini wa matatizo yetu. Kusema kwamba Zuma kamkaribisha Bashir kwenye inauguration..it may seem a breach of an international obligation towards ICC..lakini siku hizi hao hao vinara wakubwa ndo wanaongoza kwa kuvunja hiyo international law..ndo maana no body cares with international law anymore.ni sisi wenye njaa ndo tunalialia....leo ukiona vidume akina N. Korea au Iran wanajisimamia..kutengeneza Nuclear bombs...wanajua fika kabisa..wanaowashikia bango..wao ndo namba moja kuvunja hizo sheria..Ni unafiki na ubatili mtupu!

Kwahiyo kama mwezio kajisaidia nguo na wewe utafanya hivyo hivyo kwa kuwa fulani kafanya sio? Hii inaonyesha ni jinsi gani Afrika bado tutaendelea kutawaliwa kiakili milele. Nikupe mfano mdogo: Niliwahi kuhudhuria vikao kadhaa pale UN New York na nilikuwa na kazi ya kuaccess namna washiriki kutoka Afrika wanavyochukulia serious...matokeo yake nikikwambia unaweza kutoa machozi...kwa kawaida mikutano ya UN huwafanywa katika vikundi tofauti tofauti na huchukua muda mwingi wakati mwingine hadi usiku wa manane.

Ndugu waafrika wengi walikuwa wanatumia muda mwingine kuzungukia masoko ya vitu vilivyotumika (second hand shops) na kushangaa mji, pia hata wanaohudhuria huwa wachache kiasi kwamba huchagua baadhi ya workshop za kwenda na kusubiri mjadala wa pamoja (plenary session) ambazo uchangiaji wake wa kukamilisha agenda tu maana mada huwa imechambuliwa kwa kina kwenye zile worksho session. Sasa watapata wapi muda wa hiyo indepth analysis??
 
Zuma ni King Mswati mwingine tena kwa wanawake: but he is honest kuwa anapenda wanawake na wala hajifichi ktk dini au unaafiki wa viongozi wengine Afrika!

Angalia maraisi/mawaziri Afrika wengi Wakiristo ila ni wanaafiki na wengi wana nyumba ndogo kwa siri!

Afadhali Zuma ambaye yuko wazi!
 
Mkuu mimi siyo mwanadiplomasia..lakini kwa elimu yangu ya shule za sikinde/UPE..najua kabisa diplomacy ni unafiki tuu. Na katika UN..any serious business is done in the Security Council. Huku kwa wapiga kelele GA hakuna deal la maana..ni kutoa declarations tuu ambazo hazisaidii lolote in real terms.

I agree kwamba waafrika we are never serious with anything. I repeat: Anything. LAKINI hii haifichi unafiki wa wakubwa! Sometime Africa inaingia kwenye mikataba kama hii ikiwa na nia njema..lakini ndo hivyo....I really like Chinese diplomacy. Wanafanya exactly hawa wa west walichokifanya. Huu unafiki lazima ifike point uishe na watu washikishwa adabu. Leo climate change ndo wimbo wa dunia..lakini China anakwambia..hey wait a minute..nani alisababisha hiyo damage ya mazingira? si ni viwanda vyenu? na ndo viliwafanya mkaendelea? sasa leo sisi hamtaki tujenge viwanda....Well, its sad, but at times..nadhani hawa wakubwa wanaelewa lugha za Iran, N.Korea na China.

Sasa kama sisi bado tumelala tunawakumbatia wachina na sera zao..ni ujinga wetu!
 
Back
Top Bottom