Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,839
Wajameni nimeipenda hiyo!!! NN yaani unajua JF lazima ina members of all calibre!!! Ni jukwaa huru kweli kweli, kinachotakiwa ni kufuata taratibu zake, i,e by laws!!!
Lakini jamani tunasema ni Yo Yo!!! Tena wakasema tena Yo Yo ni mhanga wa mabomu Mbagala!!! It seems tunamuwazia sana Yo Yo!!!! Ni vizuri.
Hapo sijui hiyo picha ni ya nani maana simfahamu member yoyote kwa picha hata majina halisi kiachia wachache ambao wanatumia real names!!!! japo picha zao hazipo ku justify uhalisia wa majina yao!!! which is good maana aingekwa ni lazima kuweka picha na jina halisi, leo msingenikuta hapa!!!!
Lakini jamani tunasema ni Yo Yo!!! Tena wakasema tena Yo Yo ni mhanga wa mabomu Mbagala!!! It seems tunamuwazia sana Yo Yo!!!! Ni vizuri.
Hapo sijui hiyo picha ni ya nani maana simfahamu member yoyote kwa picha hata majina halisi kiachia wachache ambao wanatumia real names!!!! japo picha zao hazipo ku justify uhalisia wa majina yao!!! which is good maana aingekwa ni lazima kuweka picha na jina halisi, leo msingenikuta hapa!!!!