Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Nimeshiriki kidogo kwenye mjadala ndani ya Star TV mapema asubuhi Ijumaa hii nikichambua kwanini Sheria hii ni mojawapo ya sheria mbovu kabisa kupitishwa na Bunge letu, ikiwa na lengo la kudumaza demokrasia, kuzuia Wagombea huru na kudhibiti wagombea wa vyama kutumia haki yao ya kujieleza.
Nitaandika kwa kirefu nikichambua vifungu vyake mbalimbali na athari zake kwa demokrasia changa ya Tanzania na ni kwanini naamini Rais Kikwete ahakikishe kuwa Bunge linapokutana tena Aprili sheria hii inafanyiwa mabadiliko kabla ya kuanza kutumika baadaye mwaka huu.
Sikiliza hapa:
Nitaandika kwa kirefu nikichambua vifungu vyake mbalimbali na athari zake kwa demokrasia changa ya Tanzania na ni kwanini naamini Rais Kikwete ahakikishe kuwa Bunge linapokutana tena Aprili sheria hii inafanyiwa mabadiliko kabla ya kuanza kutumika baadaye mwaka huu.
Sikiliza hapa: