Mchango wa Rais Mkapa katika Mwalimu Nyerere Foundation



aliyemuua Nyerere ni Kikwete!

Kikwete alijua Hatakiwi na Nyerere na Mkapa , akaona akimuua Nyerere mkapa hanaujanja!!

au unafikiri kwa nini Mkapa ambaye alipigiwa debe na Nyerere amuue Nyerere nasio Kikwete ambaye ameutafuta urais kwa zaidi ya miaka 10 asiwe ndiye aliyemuuaNyerere

Nyerere alionyesha wazi na alisema wazi bado Kikwete ni mdogo? unafikirialikuwa mdogo ki-ukweli??

mimi nadhani (kwa maelezo yako) naona Kikwete ndiye aliyemuua Nyerere auunasemaje??

Nakubaliana na hoja yako asilimia mia moja isipokuwa hapo unapohoji kama kikwete alikuwa Mdogo - Kiukweli.
Mwalimu alikuwa sahihi Aliposema Kikwete alikuwa mdogo, na mpaka sasa napo bonyeza key board hii Hajawahi
kukua na kufikia hekima ya kumuwezesha kuwa kiongozi wa nchi,.

Ushahidi ni uongozi Mbovu wa serikali yetu katika kila namna, kuanzia kwenye utendaji wake binafsi, mpaka
kwenye namna anavyowasimamia viongozi walio chini yake katika serikali na kwenye genge lao la mauaji (CCM).

Mpaka sasa, kwenye mambo ya uongozi wa juu kama alionao kikwete umri wake ni kama kilui lui
 
Misaada! misaada! misaada! Mpaka lini? Foundation ya siku nyingi, kwanini isibuni vianzo vya fedha? Au akili za viongozi zimefikia ukomo, hazina tena jipya? Umepewa taasisi must have something valuable to offer to the community sio kulalamikia watu tu. Watu wakupe msaada watarajie unarejesha nini. Hii foundation tangu ianze imerejesha kitu gani, kama sio mahala pa fikra za Nyerere tu. Fikra za viongozi wa foundation hiyo ni zipi? Tunataka fikra mpya katika mazingira mapya ya sasa. Hatuwezi kuendelea na fikra zilezile za Nyerere katika mazingira ya dot com
 
Nachoweza kusema ni kuwa ipo siku wanafiki watawekwa wazi mbele ya wananchi wanaoteseka wa nchi hii...na haya yanayoendelea ni Mungu anataka kuwavua nguo watu wanaendeleza uuaji,utesaji kwa wananchi wa taifa hili.Na kwa kweli nategemea mengi yaje baada ya muda mfupi ujao.
 
Misaada! misaada! misaada! Mpaka lini? Foundation ya siku nyingi, kwanini isibuni vianzo vya fedha? Au akili za viongozi zimefikia ukomo, hazina tena jipya? Umepewa taasisi must have something valuable to offer to the community sio kulalamikia watu tu. Watu wakupe msaada watarajie unarejesha nini. .

...Tupo pamoja kwenye hili, waliwahi kuja na bahati nasibu ya Mwalimu Nyerere, sijui iliishia wapi?...
 
- Foundation walianza kujiingiza kwenye politics za Taifa ndio Mkapa akaacha kuwapa hela ambazo alikwua akiwapa, Shillingi Millioni 300 kwa mwaka,makosa yalikuwa yao wenyewe Foundation!

- Mnyonge mnyongeni!

Es!

...kwa kuwa MNF sio taasisi ya serikali, basi yalikuwa ni makosa makubwa sana kwa Mkapa kutumia fedha za walipa kodi kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli za taasisi binafsi, labda kama Mkapa alikuwa anatoa fedha zake binafsi....
 
Najaribu tu kufikiria hivi Mkapa aingeupata urais mwaka 1995 na 2000, hivi kungekuwa na Bank M maeneo ya See View?.
 
...kwa kuwa MNF sio taasisi ya serikali, basi yalikuwa ni makosa makubwa sana kwa Mkapa kutumia fedha za walipa kodi kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli za taasisi binafsi, labda kama Mkapa alikuwa anatoa fedha zake binafsi....
Narudia tena, Mkapa hajawahi kuipa Nyerere foundation hela.
 
...Tupo pamoja kwenye hili, waliwahi kuja na bahati nasibu ya Mwalimu Nyerere, sijui iliishia wapi?...
Mambo si hayo? Bahati nasibu ilikuwa izinduliwe na Salim Ahmed Salim kitaifa. Mkapa na Sumaye wakaipiga chini eti ingempa Salim umaarufu wa kugombea urais 2005.
 
Misaada! misaada! misaada! Mpaka lini? Foundation ya siku nyingi, kwanini isibuni vianzo vya fedha? Au akili za viongozi zimefikia ukomo, hazina tena jipya? Umepewa taasisi must have something valuable to offer to the community sio kulalamikia watu tu. Watu wakupe msaada watarajie unarejesha nini. Hii foundation tangu ianze imerejesha kitu gani, kama sio mahala pa fikra za Nyerere tu. Fikra za viongozi wa foundation hiyo ni zipi? Tunataka fikra mpya katika mazingira mapya ya sasa. Hatuwezi kuendelea na fikra zilezile za Nyerere katika mazingira ya dot com

Asungwile,
Nyerere Foundation ina hela za kujenga orofa ambalo litatumika kama ofisi na museum na floors nyingine kukodishwa.
Wachina wameshatoa financing na jinsi nilivyoelezwa ikiwa jengo hilo litamalizika MNF itaweza kujiendesha yenyewe.
Kilichokuwa kinagomba ni wapi lijengwe. Nasikia Kikwete amekubali wajenge pale ilipokuwa zamani Avalon Cinema.
 
hiyo proof iko wapi? kuwa Mkapa alimwekea kauzibe museven asichangie? halafu urais wa Salim ulikuwa unawaharibia vipi akina Mapa, huku habari zikizagaa kuwa Mkapa alimtaka salim??
Waberoya,
Shida yako ndiyo hiyo. Eti ushahidi uko wapi? Mpaka nitoe siri hapa nilizipataje hizo habari ndipo uamini? Nikikwambia kuwa Museveni ni family friend utasemaje? Mkapa hajawahi kumtaka Salim hata kidogo. Siyo siri kwamba Mkapa alikuwa anasema hadharani kuwa siwezi kumwachia Mwarabu nchi. Fanya homework yako ndugu yangu.
 
- Mkuu wangu Foundation kwanza walianza kumkomoa Mkapa kwa kupeleka sherehe za Mwalimu, Bungeni Uganda waliporudi Butiku akaanza kwenda Vijijini kuwasikiliza wananchi huku akitukana serikali, ndio pale akawa ameenda too far washauri wa Mkapa wakamwambia enough, ingawa Mkapa alikataa sana mawaidha ya washauri wake lakini ni Butiku mwenyewe aliyemlazimisha kusitisha msaada, tatizo ni Foundation walitaka kujiingiza kwenye kaumua nani anafaa na nani hafai kwua kiongozi wetu!

Es!
FMES
You have got it wrong. Museveni alimkaribisha Butiku Uganda kwa sababu alitaka kutoa mchango kwa Nyerere Foundation na siyo kwamba Nyerere foundation ilipeleka sherehe zake katika bunge la Uganda. Isingewezekana kwa sababu the foundation is a private institution iweje sherehe zifanyike bungeni? It was Museveni's idea that the Ugandan parliament should pay tribute to the contributions that Julius Nyerere made to Uganda's progress. Sasa hapo kosa liko wapi? Na alichofanya Butiku ni kile kile ambacho ameendelea kufanya mpaka leo, kukosoa mwelekeo wa nchi yetu na hiyo ni haki yake. Amefanya hivyo wakati wa Mkapa na anafanya wakati huu wa Kikwete.
 


aliyemuua Nyerere ni Kikwete!

Kikwete alijua Hatakiwi na Nyerere na Mkapa , akaona akimuua Nyerere mkapa hanaujanja!!

au unafikiri kwa nini Mkapa ambaye alipigiwa debe na Nyerere amuue Nyerere nasio Kikwete ambaye ameutafuta urais kwa zaidi ya miaka 10 asiwe ndiye aliyemuuaNyerere

Nyerere alionyesha wazi na alisema wazi bado Kikwete ni mdogo? unafikirialikuwa mdogo ki-ukweli??

mimi nadhani (kwa maelezo yako) naona Kikwete ndiye aliyemuua Nyerere auunasemaje??
Mkuu wangu, uchaguzi uliofuata ni ule wa mwaka 2000 ambao Nyerere mwenyewe alisema hana hakika kama Mkapa atachukua mihula miwili.. Haya ni maneno ya mwalimu mwenyewe aliyasema na maadam yeye ndiye alikuwa kiungo kikubwa cha chama na mwenye mashaka kama hayo lazima tuwe na mashaka zaidi na uongozi wa Mkapa wakati ule.

Hadi inakaribia uchaguzi wa kumpata mgombea wa CCM mwalimu alikuwa safi tu ingawa kijulikana wazi kuna mvutano ndani ya chama kuhusu Mkapa kuchukua awamu ya pili, mara ghafla kabla jina halijachaguliwa tukasikia ugonjwa wa mwalimu na ndio hakurudi tena ila Jeneza.
- Mkapa bila kupingwa na ikiwa ati utamaduni wa chama rais kuongoza awamu mbili bila kupingwa. Je, unajua kwamba Mkapa akiwa rais alitaka hata kumyang'anya Mwinyi diplomatic passport?.
 
Ungekuwa muungwana zaidi kutuambia hiyo nyumba ilikamilika mwaka gani? na enzi za mwinyi ilianza kujengwa mwaka gani? ungejenga hoja vizuri.

Mwaka 1992 nilikuwa Buhemba JKT kwa mujibu wa sheria (Operesheni Vyama Vingi) na nilishiriki kusomba mawe kujenga nyumba ile na tulikuta imeshaanza kujengwa. Ni wakati wa Mzee Ruksa. Waziri wa Ulinzi alikuwa Kanali Abdulrahman Kinana na naibu wake alikuwa Kanali Seif Bakari, na wote waliwahi kututembelea mzigoni wakati tunachonga mawe kule. Uliza jingine.
 
Naiangalia mada kwa mtazamo tofauti. Nadhani (naomba kusahihishwa) kuwa mtoa mada alikuwa na maana ya kusema kuwa, akina Mkapa wamekuwa wazuri sana wa kutumia jina la Nyerere kufanikisha azma zao. Ni mara nyingi wakisema wana muenzi mwalimu. Hapo ndipo swali linakuja, kama wanamuenzi mbona hawaenzi chombo kinachotaka kusimama kama 'icon' ya Mwalimu? Na je hapo hakuna unafiki!!

Foundation si kitu kigeni, zipo kila mahali. Mara nyingi hujiendesha zenyewe zikipata msaada wa serikali si kifedha bali kuzitengenezea mazingira mazuri. Rais Clinton ana foundation yake inayojishughulisha na maradhi katika nchi masikini. Foundation hiyo anaiutumia kufanya kazi na kwa kiasi 'ku-lobby' katika serikali kuzisaidia nchi hizo.
Naye anaposafiri serikali inamuandalia mazingira mazuri ya kufanya kazi. Kwahiyo hapo ni 'win win situation' kuwa image na international relationship ya nchi inaongezeka na foundation nayo inafaidika kwa misaada ya hali kutoka serikalini

Watu wakisema Mkapa amesaidiaje MNF haina maana kifedha, hata kimawazo na hali.
Tusitegemee foundation zitoe matunda kama maembe ya msimu.
Foundation ya JF Kennedy ndiyo iliyotoa scholarship ya baba yake Rais Obama.
Si JF Kennedy au Jackline Onanasi Kennedy waliowahi kuishi na kuona matunda ya foundation yao ambayo ni Rais Obama.

Maana yake ni kuwa MNF si sehemu ya kuhubiri fikra za mwalimu bali ni sehemu ya kuleta changamoto na kulisadia taifa kwa njia mbali mbali. Ninataraji foundation ya Mkapa itakuwa endelevu'sustainable' na kwamba hata akiwa hayupo basi matunda yake yataonekana. Nilitarajia pia kuwe na Ali Hassan Mwinyi foundation itakayokuwa na eneo inaloshughulikia.

Kwanini tusiwatumie viongozi wasataafu ambao wana uzooefu 'executive experience' kufanya mambo yatakayoacha alama kwa taifa? Je, tunataka tuwe na vitu kama WAMA, EOTF n.k ambavyo siyo sustainable.

Kuna ubaya gani tukiwa na kitu kama JF Kennedy school of management au George bush presidential Library ambako maarifa hayaangalii huyu ni democrat au Republican.

Mimi nilidhani kitu kama MNF ndipo tungeanzia ili kuwa na sehemu ya kupika viongozi kwa kutumia uzooefu wa waliopita. Sina maana kumeza kila kitu bali kupingana kwa kuangalia uzooefu wa viongozi wetu.
Kama MNF ingekuwa imara kuna tatizo gani tukiwa na watu wenye itikadi na mitazamo tofauti wakilumbana na kubadilisha mawazo kwa hoja na kwa kutumia uzooefu uliopita ili kujenga mustakabali wa taifa kwa siku za baadaye.

Neno foundation ni lazima tuliangalie kwa mapana yake na siyo tu imesomesha watoto wangapi au imetibu watu wangapi.
Ni zaidi ya hapo na hapa ndipo tunajiuliza kwanini watu watumie jina la mwalimu kupanda ngazi zao na washindwe kujenga ngazi kwa vizazi vijavyo.
 
Kwa kweli, Katika hili watanzania tumejifunza dhana ya Kikulacho ki nguoni mwako kwa Machungu na maumivu makubwa sana.

Come to think of it, Mwalimu alianza kusema vitu ambavyo vingekuwa sio rahisi kwa Mkapa kupata second term hasa hasa kuhusu uuzwaji wa mashirika ya umma!! In fact kulikuwa hata na tetesi kuwa preference yake unfortunately ilikuwa kumjenga Gertrude Mongella kama rais wa second term ya Mkapa. Sasa wakati huo Mkapa alikuwa rais je inawezekana alitumia vyombo vyake vya dola kumuathiri mwalimu a' la what has happened to some politicians recently? Rais Chavez wa Venezuela ambae ana matatizo ya saratani amesema kuwa marekani wamegundua njia ya kuwapandikizia vimelea vya saratani viongozi wa America ya Kusini kwani wengi wao wenye mrengo wa kushoto kisiasa wana maradhi hayo sasa!!
 
huyu mkapa ndio alisaini mikataba mingi ya ajabuajabu hadi ffu wakawa wanalinda majengo ili makaburu waingie maofisini kwa lazima....wadau wakidadisi anajibu mnawivu wa kike...kwa sera za mwalimu kuwa mpaka watanzania wasome ndio waanze kufaida rasilimali zao ilikua kinyume na mawazo ya mkapa ambeye badae alisaini mikataba kanakwamba yeye ndio rais wa milele...kuna baadhi ya mambo yanampa shida kikwete kwa sababu ya ujinga wa mkapa...huyu mzee asife bila kujibu tuhuma dhidi yake mahakamani na muda ndio huu.!!
Sasa hivi Mkapa ni vigumu kweli kweli kulishtaki mahakamani maana bado linalindwa na JK.....infact wanalindana......cha msingi tupambane kubadili katiba kuondoa immunity waliyonayo haya majamaa ili tuwashtaki hawa...wao wanasahau kwamba lazima iko siku watu watahoji mabaya waliyofanya wakiwa madarakani....Mkapa hana pa kutokeaa hata kama analindwa sasa lakini ana mengi sana ya kujibu mahakani.......and i will be among many to sue them assholes.....when the time comes..........
 
Back
Top Bottom