Mchango wa Rais Mkapa katika Mwalimu Nyerere Foundation

Jamani tuwe macho sasa hivi.N sio mchezo kuna magaidi hapo ndani ya serikali ya ccm.Lazima tuwatokemeze ili nchi iwe na amani .hili ni suala la nchi.Sijui tunakwenda wapi kuna group la watu wachache na tunawajua vizuri sana.Sasa mwisho umefika .Hatutaki kusikia vifo vya utata tena.MUNGU SASA ANAFANYA KAZI NDIO MNAONA KILA WANALOFANYA KISCHEKESHO ,HAWA NI WATU HATARI.SASA WAPENDA AMANI TUSIMAME NA KULIONDOA GENGE HILO KWA USALAMA WA TAIFA LETU SASA HIVI.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Inaelekea MKJJ ndiye aliyemuandikia hotuba........... maana alitabili kuwa atawapiga madongo wapinzani!! Na kesho yake kweli akaja na hilo bomu!!! Unless, MKJJ amekuwa Sheik Yahya (joke).

Anaway, Waswahili hudai kuwa "lisemwalo lipo...................." Hivyo huwezi kataa hizo posibilities. hata Brutus alimdunga kisu rafiki yake mkubwa Julius Caesar!!
 
huyu mkapa ndio alisaini mikataba mingi ya ajabuajabu hadi ffu wakawa wanalinda majengo ili makaburu waingie maofisini kwa lazima....wadau wakidadisi anajibu mnawivu wa kike...kwa sera za mwalimu kuwa mpaka watanzania wasome ndio waanze kufaida rasilimali zao ilikua kinyume na mawazo ya mkapa ambeye badae alisaini mikataba kanakwamba yeye ndio rais wa milele...kuna baadhi ya mambo yanampa shida kikwete kwa sababu ya ujinga wa mkapa...huyu mzee asife bila kujibu tuhuma dhidi yake mahakamani na muda ndio huu.!!
 
Kuna haja ya kuwepo na kipindi cha maswali baada ya hotuba. Hapo nafikiri mkapa angeulizwa ataje kwa majina watoto na wajukuu wote kwenye familia ya Nyerere.
 
Mkapa ni miongoni mwa viongozi wa ccm ambao wamekuwa wakilitaja jina la mwalimu ili kujipatia manufaa binafsi.

Ukitazama kwa makini utaliona hilo, na ndio maana utaona hakuna serikali yoyote inayoshughulika na MNF, kuanzia kwa mkapa hadi kikwete ili ihakikishe kwamba MNF inafanya kazi ilizokusudia kulifanyia taifa hili kama ilivyoanzishwa na mwalimu Nyerere mwenyewe.

Kama wangekuwa wanamuenzi bila shaka MNF ingekuwa ni taasisi ya kutegemewa kwa ajili ya masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, na ndipo pangekuwa mahali sahihi pa hawa wastaafu kwenda kujumuika na kusaidia kutekeleza kwa ukamilifu malengo na matarajio ya MNF. Na bila shaka hapo ndipo wangepafanya kisima cha busara, na viongozi wetu mbalimbali, wa serikali, vyama vya siasa na taasisi za binafsi wangeweza kunufaika na kuwepo kwa viongozi wakuu wastaafu, ambao wangesaidia kutoa mwongozo wa namna ya kuiendesha nchi kwa tija.

Sasa kwakuwa wamefanya kusudi kuitelekeza MNF basi ni dhahiri kwamba wote wanaolitaja jina la mwalimu ili kufikia malengo yao ni wanafiki sana tena wanafaa kuitwa 'Wanafiki papa".
 
Angejipumzikia Lushoto pale Mkuzi haya yote yasingejitokeza maana watu wange sahau na kumsamehe yaliyopita.Sasa kiherehere chake na kuropoka kutaweka mengi hadharani ambayo baada ya 2015 hali inaweza kuwa mbaya kwake
huwa nalivizia sana pale njiapanda magamba (coast) ili nimrushie mayai viza, sijui huwa anapita saangapi pale, dah! kiukweli lushoto tumeingiliwa na kirusi...........

 
Mkuu ni bora kabisa amekaa mbali na taasisi ya MNF. Mkapa ana bahati sana kwamba kuna watu bado wanaamini kuwa alikuwa rais bora baada ya JKN hasa akilinganishwa na JK. Ni ajabu kwamba watu wengi wanashindwa kuona kuwa huyu ni mtu asiye na chembe za kibinadamu kabisa. Ni jeuri, kibri, dharau, n.k. Wapinzani kwake ni kama mbwa. Halafu, fikiria tu alivyomuelezea Mwalimu karibu na kifo chake kwamba anaumwa "mkanda wa jeshi". He was almost celebrating. Kwa kifupi, Mwalimu angemfahamu vizuri, angekaa mbali naye kabisa.

Hata kama hakuchangia kifo chake lakini alipindua fikra na imani ya Mwalimu kwa pigo kuu sana. Ameigeuza nchi kichwa chini miguu juu. Akina JK ni kama mwangwi tu wa jeuri ya kifisadi aliyoisimika wakati wa utawala wake. Mtu anadiriki kusimama hadharani na kutamba "nani kanizomea" kama vile anazungumza na vilaza. Hata kule kuona tu kwamba Watanzania ni watu wa staha sana; wanajituma hasa kumpa heshima haelewi! Nafikiri umefika wakati wa watu wa aina hii kuonyeshwa live kwamba hawakubaliki katika jamii. Yeye ale pesa zake kimyakimya kwenye makasri yake atuachie mahangaiko yetu wenyewe.
 
Yanahitajika maelezo ya kina ili kujua Mkapa kafanya nini kukuza legacy ya Mwalimu, sikubaliani na alichokisema Arumeru, pia sikubaliani na alichokifanya Nyerere Day pale alipotuasa kuenzi mazuri ya Mwalimu ilihali yeye wakati wa utawala wake hakumuenzi kwa vitendo. Utafiti wa kina unahitajika kujua kafanya nini kwa ajili ya Mwalimu kwa hili tatizo ni moja watanzania ni wagumu wa kuweka wazi taarifa zetu.
 
Mi ninachofurahia kwenye muhtadha huu ni kuwa afadhali japo kidogo watz tumepata fursa ya kumvua nguo pande zote huyu Bw. Mkapa ambaye hapo kati alipata kupeta huku akielea kwenye madhaifu ya J.Kikwete, na kutaka kuonekana mtu wa muhimu sana kwenye nchi yetu eti kipindi chake uchumi wa taifa ulipaa.

Kwa kweli napata raha sana kwa hili linalotokea sasa... kama anapata mshahara unaomstahili inabidi tumuongezee mafao kwenye mshahara huu kupitia hili.

Mkapa hastahili haki katika hii nchi hata kidogo.
 
Tutasema yote lakini maneno mafupi yanayofaa ni Mkapa alikuwa Bingwa wa unafiki kiasi cha kufanya Mwl Nyerere kumuamini!!! Unafiki wa kufanikiwa kumuhadaa mtu aina ya Nyerere lazima uwe Bingwa wa unafiki haswa!!!

Marehemu Julius Kambarage Nyerere alipomkuta Benjamin William Mkapa akiwa kalewa na kulala pale Ikulu ndiyo ilikuwa sababu kubwa ya Mkapa kuwatumia maadui wa Mwalimu haswa wale ambao Mali zao zilitaifishwa wakati wa Azimio la Arusha haswa The British. Jiulizeni ndiyo maana Tony Balair aliasisi mradi fake wa RADA ya Mzee wa Vijisenti na timu yake. Leo hii Mkapa Ana hisa kwenye bank ya Barclays yenye tawi pale opposite na Royal Palm ambao ndiyo waliotoa dhamana ya ile deal ya change ambayo Membe anaikomalia. Kikwete ni mshrika mkubwa. You remember Marehemu Kawawa alipotumwa kwenda kumwona Mwalimu kule Uimgereza alisema Mwalimu amebadilika sana. If you have good memory then two plus two became three instead of four. Just to recap Mkapa alitoka New York akaingia St. Margret Hospital alikolazwa Mwalimu. He just wanted to make sure asipone. The rest is academic. Ccm has to answer labda watumie Alshabab kutuua but we are many wenye kujua ujambazi wa CCM!
 
Hili la Mkapa kumuua Nyerere ...acha wafu wazikane..

Ila msipende kumshirikisha JK hapa...

Maana mwanakondoo mwenzake ndio amehusika lol.

Kama ni kweli (japo siamini) inawezekana ndio maana aliweza kuua watanzania 1998 and 2001..labda ni muendelezo

damu tupu
 
Hili la Mkapa kumuua Nyerere...acha wafu wazikane..

Ila msipende kumshirikisha JK hapa...

Maana mwanakondoo mwenzake ndio amehusika lol.

Kama ni kweli (japo siamini) inawezekana ndio maana aliweza kuua watanzania1998 and 2001..labda ni muendelezo

damu tupu

Mkuu unawezaje kumtofautisha JK na Mkapa??

aliyemweka madarakani JK ni Mkapa, aliyesaini miataba mibovu yote ya energy namadini nchi hii ni Kikwete na Mkapa wake!!

ukiwa genuine kwemye maisha yako utakuwa genuine kwenye brain,

dont you see JK is a mental case??
 
Yanahitajika maelezo ya kina ili kujua Mkapa kafanya nini kukuza legacy ya Mwalimu, sikubaliani na alichokisema Arumeru, pia sikubaliani na alichokifanya Nyerere Day pale alipotuasa kuenzi mazuri ya Mwalimu ilihali yeye wakati wa utawala wake hakumuenzi kwa vitendo. Utafiti wa kina unahitajika kujua kafanya nini kwa ajili ya Mwalimu kwa hili tatizo ni moja watanzania ni wagumu wa kuweka wazi taarifa zetu.

Akiwa rais na sasa mstaafu, sikumbuki kitu chochote alichofanya Mkapa kumuenzi Mwl. Nyerere. Hata mama Maria alisahaulika kabisa. Infact kiwanja kilicho mbele ya nyumba ya Mwl Nyerere -Msasani, kiligeuzwa na kuwa kiwanda cha kutengeneza matofali wakati rais Mkapa akiwa Ikulu na hakusema chochote! Ni hadi pale Magufuli alipochukuwa wizara ya Ardhi wakati wa Kikwete ndio yule bwana mfyatua matofali alipoondolewa!

Sina hakika kama huyu Mkapa aliwahi kwenda Butiana kumjulia hali mama Maria wakati akiwa bado Ikulu?
 


Mkuu unawezaje kumtofautisha JK na Mkapa??

aliyemweka madarakani JK ni Mkapa, aliyesaini miataba mibovu yote ya energy namadini nchi hii ni Kikwete na Mkapa wake!!

ukiwa genuine kwemye maisha yako utakuwa genuine kwenye brain,

dont you see JK is a mental case??

Ni two personalities hiyo ndio tofauti

JK hakuwekwa na Mkapa wala Nyerere in fact hawa walitaka kum-block asifike mahali..for reasons best known to themselves..

Wheather JK is a mental case is irrelevant in this case..nani kamuua nyerere topic??
 
Taja angalau wawili tu aliowaua Mchonga. Otherwise you are just peddling your prejudices
kuna tetesi kuwa mzee wa apolo amefariki leo huko apolo, mods wameitoa thread labda wanathibitisha kwanza,
CCM ni genge la wauaji aisee.
 
Mkapa na wenzake hawana hoja ,nyerere alifahamu ukweli kuhsu maisha hawa jamaa(viongozi wetu sasa ) wamepotoka wana pepo la kupora mali za watanzania, hebu tusubiri, tuone kwa wizi huu mkubwa wa mali za watanzania je watawala wetu watakuwa salama?historia kote duniani inaonesha hawapo salama, hawatakuwa salama hata kidogo!
 
Back
Top Bottom