Mchango wa mapato Zanzibar,
Mimi ni mtanzania wa elimu ya kati. Kuna jambo hili la Zanzibar kuomba mchango wa fedha za matumizi kutoka mapato ya taifa. Hapa kweli nashindwa kuelewa. Ni taifa kuchangia fedha za matumizi au ni Zanzibar kuchangia mapato yao kwenye matumizi ya taifa? Hapo ndio tuu nashindwa kuelewa. Naomba mwenye utaalam na haya mambo anifunze.
Mimi ni mtanzania wa elimu ya kati. Kuna jambo hili la Zanzibar kuomba mchango wa fedha za matumizi kutoka mapato ya taifa. Hapa kweli nashindwa kuelewa. Ni taifa kuchangia fedha za matumizi au ni Zanzibar kuchangia mapato yao kwenye matumizi ya taifa? Hapo ndio tuu nashindwa kuelewa. Naomba mwenye utaalam na haya mambo anifunze.