Mchango wa HIARI kwa Dr. Ulimboka

Hata kuchangia Dr limboka na hatua safi - labda ikiamuliwa apelekwe say RSA si atakuwa na pakuanzia? Huwezi changia kwa sasas poa. wacha kukatisha watu tamaa.
 
I wish siku moja polisi wagome wiki moja tu na dhani tutaheshimana kuwa kila mtu ni muhimu kwenye kazi yake. Ugua pole mkuu lakini pia ujue huduma unayopata hapo hata wale uliowagomea wanaihitaji kama wewe unavyoihitaji bila kujali kama gvt imetekeleza mapendekezo yenu,

Wagome??!!!, rushwa na dili za wizi, magendo na ujambazi wamwachie nani?... ushasikia hata wanakwenda likizo?, eti kugoma??? unataka wafe njaa na vitambi vyao vya togwa na kitimoto!!

Wanagoma wanaojitambua, wasio na magumashi... wazushi hawawezi kugoma kamwe.. wewe cheti cha kufoji ugome unataka nini?
 
USHAURI KATIKA HILI JF FOUNDER WAKAOMBE VODACOM BUSINESS ACCOUNT YA M-PESA ITAKUWA RAHISI KUCHANGIA NA KWA UWEPESI mfano walionayo Luku,dstv,Chadema na wengineo!
 
ARV (MEANS ANTI RETRO VIRUS) hizi ni dawa za kupunguza makali ya Virusi vya Ukimwi. mkuu umekera naomba nikujibu yafuatayo

1. Daktari kama wewe anapigania haki yake kutoka serikarini, kama wewe na huyo nduguyo mmekuwa weak kwenye kufuatilia madai yenu ya matibabu kwa serikari yenu mlioiajiri shauri yenu, msitake madaktari wawe waoga kama wewe
2. Death of your relative( if it will happen) is due to your weakness for you as a Tanzanian to rise and claim for your right, sio uzembe wa Dr wewe hujamuajili Dr bali ni Serikari.
3. Dr am,eamua kusoma hiyo miaka 6 ili kufanya kazi yake na kupata kipato, huweza ukataka awe punda kwa sababu maesomeshwa na gorv, nieleze ni9 watu mafisdi wangapi serikarini waniba na walisomeshwa na gorv
4. Ma Dr ni watu brave, clever na wangeweza kusoma profesiion yeyote ile since waliscore div 1, kuwasomesha ni lazima cause ni haki yao, sasa wanasoma kufocus kuwahudumia wa Tz sio wazembe kama wewe na nduguyo mgonjwa.
5. MWISHO MPEPOLE NDUGU YAKO KAMA ANATUMIA ARV
Raia Tz my msg "Anayemlipa mpiga zumari ndiyo mchagua wimbo"
 
Siwezi kutoa hela yangu kwa huyu mkuu wa wauaji. Tunaenda hospitali na mgonjwa wetu mahututi wanatudharau,imebidi mgonjwa tumrudishe nyumbani, anasubiri tu kufa sasa. Kama kugoma watafute njia ya kuigomea serikali sio sisi tuliokatwa kodi ili kuwalipia masomo pale MUHAS..

ARV (MEANS ANTI RETRO VIRUS) hizi ni dawa za kupunguza makali ya Virusi vya Ukimwi. mkuu umekera naomba nikujibu yafuatayo

1. Daktari kama wewe anapigania haki yake kutoka serikarini, kama wewe na huyo nduguyo mmekuwa weak kwenye kufuatilia madai yenu ya matibabu kwa serikari yenu mlioiajiri shauri yenu, msitake madaktari wawe waoga kama wewe
2. Death of your relative( if it will happen) is due to your weakness for you as a Tanzanian to rise and claim for your right, sio uzembe wa Dr wewe hujamuajili Dr bali ni Serikari.
3. Dr am,eamua kusoma hiyo miaka 6 ili kufanya kazi yake na kupata kipato, huweza ukataka awe punda kwa sababu maesomeshwa na gorv, nieleze ni9 watu mafisdi wangapi serikarini waniba na walisomeshwa na gorv
4. Ma Dr ni watu brave, clever na wangeweza kusoma profesiion yeyote ile since waliscore div 1, kuwasomesha ni lazima cause ni haki yao, sasa wanasoma kufocus kuwahudumia wa Tz sio wazembe kama wewe na nduguyo mgonjwa.
5. MWISHO MPEPOLE NDUGU YAKO KAMA ANATUMIA ARV
Raia Tz my msg "Anayemlipa mpiga zumari ndiyo mchagua wimbo"
 
oya milioni 50 wapi nizitupe??!!
kwa doctor ulimboka???
au hapa hapa jf??
na semeni mnataka tanzania money au dolas??!!
na wanaotaka ticket za safari ni wangapi??!!
baada ya matibabu hamtaki mda wa kujifurahisha kidogo huko nje??!!
wakati wa kurudi akiwa air port si mtafanya maandamano ya kimtindo??!!
na gharama za kualika vyombo viwili vitatu vya habari!!
zijumlisheni zote hizo kama 50milioni kicheche nikunjuke 100/=
na akirudi kutoka matibabu nataka muendelee na mgomo kwani maisha ya ulitomboka ni bora kuliko mamia ya wagonjwa wanaoteseka kwa kukosa tiba na wengine kufa!!!
ulitomboka ni muhimu sana kuliko wagonjwa wote wanaoteseka mahospitalini kwa mgomo!!
 
Hata kuchangia Dr limboka na hatua safi - labda ikiamuliwa apelekwe say RSA si atakuwa na pakuanzia? Huwezi changia kwa sasas poa. wacha kukatisha watu tamaa.

oya milioni 50 wapi nizitupe??!!
kwa doctor ulimboka???
au hapa hapa jf??
na semeni mnataka tanzania money au dolas??!!
na wanaotaka ticket za safari ni wangapi??!!
baada ya matibabu hamtaki mda wa kujifurahisha kidogo huko nje??!!
wakati wa kurudi akiwa air port si mtafanya maandamano ya kimtindo??!!
na gharama za kualika vyombo viwili vitatu vya habari!!
zijumlisheni zote hizo kama 50milioni kicheche nikunjuke 100/=
na akirudi kutoka matibabu nataka muendelee na mgomo kwani maisha ya ulitomboka ni bora kuliko mamia ya wagonjwa wanaoteseka kwa kukosa tiba na wengine kufa!!!
ulitomboka ni muhimu sana kuliko wagonjwa wote wanaoteseka mahospitalini kwa mgomo!!

Mantisa nachangia 30000

janja pori 30000


Mpaka sasa sijaona Invisible akitingisha kwa ili

Je hawajaguswa na hili?

Please Jf Admin weka uzalendo mbele

WITO: SIjui kama kuna haja ya DR Ulimboka Kwenda nje ya nchi maana huku ndo watamumaliza why india????
 
Last edited by a moderator:
Jamani wana JF habari zenu.Nitoe mfano kidogo.Nilimpeleka mke wangu kujifungua,miezi saba iliyopita.madaktari wakagundua kuwa anahitaji Operation.Lakini hawakuwa na nyuzi za kumshonea baada ya upasuaji.Wakanipa sababu mbali mbali mpaka akafariki. hivyo alifariki yeye na mwanae.Madaktari wanapigania mazingira mazuri ya kazi ikiwa ni pamoja na vifaa vyote vya kazi n.k. sasa sidhani kama wana kosea.
 
Jamani wana JF habari zenu.Nitoe mfano kidogo.Nilimpeleka mke wangu kujifungua,miezi saba iliyopita.madaktari wakagundua kuwa anahitaji Operation.Lakini hawakuwa na nyuzi za kumshonea baada ya upasuaji.Wakanipa sababu mbali mbali mpaka akafariki. hivyo alifariki yeye na mwanae.Madaktari wanapigania mazingira mazuri ya kazi ikiwa ni pamoja na vifaa vyote vya kazi n.k. sasa sidhani kama wana kosea.

pole sana kaka

Hii kitu inaniuma sana

Serikali inafanya unyama kwa vitendo wanavyofanya

Nimechukia chama changu mana something is behind this move
 
Jamani msisubiri mgonjwa wenu afe. Changeni mumpeleke hospitali ya pesa. Atawashukuru sana akipona. Msimuache afe tafadhali.
Siwezi kutoa hela yangu kwa huyu mkuu wa wauaji. Tunaenda hospitali na mgonjwa wetu mahututi wanatudharau,imebidi mgonjwa tumrudishe nyumbani, anasubiri tu kufa sasa. Kama kugoma watafute njia ya kuigomea serikali sio sisi tuliokatwa kodi ili kuwalipia masomo pale MUHAS..
 
Mbona Mods hawatoi maelezo sahihi kwa wanaopenda kuchangia?au kuna vitisho upande wa pili??
 
Siwezi kutoa hela yangu kwa huyu mkuu wa wauaji. Tunaenda hospitali na mgonjwa wetu mahututi wanatudharau,imebidi mgonjwa tumrudishe nyumbani, anasubiri tu kufa sasa. Kama kugoma watafute njia ya kuigomea serikali sio sisi tuliokatwa kodi ili kuwalipia masomo pale MUHAS..

A sign of great thinking,inatia hasira sana.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom