Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,920
- 31,161
Heshima wanajamvi.
Historia ya Tanganyika kabla ya uhuru na baada ya uhuru imeacha mambo mengi mazuri ambayo si vibaya tukajaribu kuyapitia kwa faida yetu na vizazi vijavyo.
Ningependa kujuzwa mchango wa chama cha waIslam Tanganyika [AMNUT] All Muslim National of Tanganyika wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika na baada ya uhuru.
Historia ya Tanganyika kabla ya uhuru na baada ya uhuru imeacha mambo mengi mazuri ambayo si vibaya tukajaribu kuyapitia kwa faida yetu na vizazi vijavyo.
Ningependa kujuzwa mchango wa chama cha waIslam Tanganyika [AMNUT] All Muslim National of Tanganyika wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika na baada ya uhuru.