Rugemeleza
JF-Expert Member
- Oct 26, 2009
- 668
- 136
Kwa wale ambao wanataka kumchangia Mwanaharakati Ndugu Halima Mdee mwaweza kufanya hivyo kama maelezo yake yanavyojieleza hapo chini na vilevile mwaweza kufuatilia mtungo wake UKOMBOZI WA KAWE
i am interested kumchangia mwanamama huyu shupavu na jasiri ambaye amefanya kazi nzuri sana hasa kwa kitendo
chake cha kuthubutu kuwa expose mafisadi huko kawe. sisi tulio huku ughaibuni tunawezaje kuingiza pesa ktk hii account
nawaomba ndugu mlio USA tusaidiane namna ya kuchangia kwa sababu ukienda benki kwa wire transfer wanataka routing number na sizani
kama benki za TNZ wanazo hizo kwahiyo nitashukuru kupata maelekezo kutoka kwa yeyote mwenye idea namna ya kuingiza pesa kwenye
hii account kutokea hapa USA. nyota njema uonekana asubuhi kwahiyo ningewaomba wenzangu wote wenye uwezo please wakati wa maneno
umekwisha sasa tujitoe sio kwa maneno matupu bali tuwe tayari kusaidia vita hii kwa hali na mali ni aibu kwa Mtanzania yeyote to watch from
sidelines wakati ccm ikiizamisha nchi yetu kwani watoto na wajukuu zako watakuuliza what did you do to save the country? if you choose to do nothing beleive me they will tell you that you are part of the problem.you saw ccm ripping off the country and you chose to do nothing.
i know that not everyone can run for congress but you can help those who dare to do so. By doing nothing you are actual unknowling helping ccm to win the election.
Ndiyo. Tunamshauri Halima afungue akaunti NMB. NMB Mobile ndiyo njia rahisi ya kuhamisha pesa kwa simu kwa sisi tulioko hapa Bongo.Kama ana account nmb.
Nmb mobile is much more easier kwa wale wenye account nmb kumchangia.