Prof Gamba
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 390
- 254
Alivyoanza tu kuongea nikajua nisije nikavunja TV yangu bure maana alianza kwa mipasho na kwa kuwa disorganised kumbe amewakera wengi....
na kumbe ameongea kama kawaida yake mwanamipasho.
Kwa kweli kwa mtu makini kwenda ccm ni kujipotezea tuu, lazima utageuzwa tu kuwa mwanamipasho..
Duuh!!! kweli TZ kazi tunayo.
na kumbe ameongea kama kawaida yake mwanamipasho.
Kwa kweli kwa mtu makini kwenda ccm ni kujipotezea tuu, lazima utageuzwa tu kuwa mwanamipasho..
Duuh!!! kweli TZ kazi tunayo.