Ndio kazi yangu ni PM
kazi gani hiyo ... au ni ile thread ya kipuuzi uliyopost ukiandika kwamba una-support Dr. Ulimboka kutekwa na kuteswa .... wewe si mtu mzuri
mpotezeeni huyu
kazi gani hiyo ... au ni ile thread ya kipuuzi uliyopost ukiandika kwamba una-support Dr. Ulimboka kutekwa na kuteswa .... wewe si mtu mzuri
mpotezeeni huyu
kazi gani hiyo ... au ni ile thread ya kipuuzi uliyopost ukiandika kwamba una-support Dr. Ulimboka kutekwa na kuteswa .... wewe si mtu mzuri
Hajui atendalo
umempa za uso huyo jamaa amenikera sana
Nyie wote ni wapuuzi na kwasababu mna vijipesa vyenu vya kujitibu katika private hospitals basi hamjali watanzania wengine milioni 40. Siungi mkono mgomo unaouwa watanzania ndio maana nasema wote walionyuma ya mgomo washughulikiwe vizuri. Serikali lazima iwe na meno bana.