Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
benki ya Dunia imedhamini mchakato wa kukwapua tani kibao za udogo unaodaiwa kuwa umeharibiwa na viwatilifu,hivyo haufai kwa matumizi ya binadamu. katika mchakato huo udogo huo ambao umejazwa kwenye mifuko maalumu utasafirishwa kwenda ulaya kwa ajili ya kuteketezw...
hivi Tanzania hatuwezi kufanya lolote? tekinologia iko wapi? wako wapi wataalamu wetu wa mazingira? kwa kufikiri zaidi nauliza je lazima udongo juo ukateketezwe ulaya?
source ..CCM TV (TBC) Habari
hivi Tanzania hatuwezi kufanya lolote? tekinologia iko wapi? wako wapi wataalamu wetu wa mazingira? kwa kufikiri zaidi nauliza je lazima udongo juo ukateketezwe ulaya?
source ..CCM TV (TBC) Habari