sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
Nawapenda wote wanajamvi, hamjamboo!!
Kuna jambo huwa silipendi sijui nyie mnalionaje.
Unakuta watu wanafahamu fika wewe mume/mke wa mtu
Walikuwa na siku nzima ya kukupigia simu kuongea mambo yao ya kipuuzi
ila kwasababu wanazozijua wao wanaamua kupiga usiku na wanajua fika utakua
na my wife/hubby wako.Na watu wa hivi huwa hawana la mana la kusema, zaidi yakuongea kisichoeleweka na kuuliza 'mambo mengine vipi'..
Jamani, mchana mlikuwa wapii?
Haijakaa vizuri. Nyie mwaonaje?
Kuna jambo huwa silipendi sijui nyie mnalionaje.
Unakuta watu wanafahamu fika wewe mume/mke wa mtu
Walikuwa na siku nzima ya kukupigia simu kuongea mambo yao ya kipuuzi
ila kwasababu wanazozijua wao wanaamua kupiga usiku na wanajua fika utakua
na my wife/hubby wako.Na watu wa hivi huwa hawana la mana la kusema, zaidi yakuongea kisichoeleweka na kuuliza 'mambo mengine vipi'..
Jamani, mchana mlikuwa wapii?
Haijakaa vizuri. Nyie mwaonaje?