white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,278
huyu jamaa ni mpenzi wa man utd,lakini anapokuwa anachambua mechi huwa anaonyesha mapenzi ya wazi wazi mno,kila ki2 utasikia pale ingejuwa man utd/ferguson!wachambuzi wote huwa wana mapenzi na timu fulani lakini kitaaluma cio vizuri kuonyesha upo upande gani,we chambua kulingana na hali halisi inayoonekana uwanjani,kidogo ingekuwa ni timu ya taifa unaweza onyesha uzalendo kidogo,ukaeleweka.sasa wewe kila kitu man utd.