Mchakato wa katiba mpya umeishia wapi?

Mkuu ulipaswa uandike "mchakato uliishia wapi" sio kiliishia wapi?

Anyway, haya mambo yanafanyika hovyo tu nchini mwetu. Tumetumia billions leo hakuna mwenye habari na mchakato wa katika mpya.
 
Back
Top Bottom