Mchakato wa katiba; Judge Augustine Ramadhani na Prof. Kabudi

Kasimba G

JF-Expert Member
Jan 19, 2011
3,428
2,609
Wajumbe hawa wawili ambao Rais amewaingiza katika tume ya kukusanya maoni, wana mushkeri. Judge Ramadhani anatuhumiwa kuhujumu kesi ya mgombea binafsi hivyo kuhujumu demokrasia na kuipa serikari ushindi wa kesi ambayo ilikuwa obvious kwa kuwa mgombea binafsi ni haki ya kimsingi ya kikatiba kwa katiba yetu hii kuukuu!

Prof Kabudi, pamoja na comments zake nyingi tata, anaonyesha pamoja na kuwa ni prof wa sheria hana msimamo, mfano pia ni kesi hiyohiyo ya mgombea binafsi, akiwa rafiki wa mahakama, alipendekeza pendekezo ambalo kwa mtu wa weredi wake, watu wasingetegemea hata kidogo, yaani alikuwa anapinga uwepo wa mgombea binafsi! Kwa kweli hawa wawili ni janga na tuwaangalie vizuri!

Kwakweli hawa wawili, na wengine ambao sijatoa wasifu wao kazi yao ni kukusanya maoni, lakini, ninakuwa na wasiwasi na kama ni kweli watakusanya maoni badala ya kishinikiza interest zao, anyway tunawajua wanasimamia msimamo gani, jamani tuweni macho na maoni yetu yasije nayo yakachakachuliwa.
 
Hao jamaa awakufaa kuwemo kabisa, lakini tuwape muda tuone kwani hata wakichakakchua na kutunga katiba kimagambamagamba, bado wazalendo tutaendeleea kudai katiba ya wananchi
 
Wamependekezwa na mh. rais akawateua!
walaumu waliowapendekeza! Jaji ramadhani ni mteule toka ZNZ.
 
Chadema wana msemo huwa wanasema mwakilishi mmoja kutoka CDM ni sawa na wawakilishi 50 kutoka vyama vingine. Kwakuwa kuna mtu mmoja wa CDM ukiwatoa hao wawili ambao hujapendezewa nao watabaki watu 98.
 
We MOhd, unaju suala la katiba inatakiwa lisiwe la kichama, hapo tutakuwa hamnazo, ni mamba ya msingi kabisa sasa inatakiwa interest za mtu binafsi zisiwepo kabisa nina wasiwasi na hao mabwana!
 
Ofcourse upo sahihi mkuu, lakini kumbuka ile kamati ina wajumbe wengi ambao hawawezi kumezwa na vichwa viwili tu. Surely hukumu ile ilikuwa ya kisiasa zaidi na iliwapunguzia hadhi magwiji hawa katika taaluma ya sheria. Kumbuka marehemu Mwaikusa alikuwepo, zaidi ya hilo alibobea katika katiba na kesi ile ilikuwa ya kikatiba, unaweza kuona ni namna gani muhimili huu( mahakama ) ulivyoingiliwa na siasa. Ninadhani dawa pekee ni katiba mpya ambayo wajumbe watakaoratibu maoni wengi wao watatanguliza utaifa mbele kama tunavyowafahamu kwa uzalendo wao kwa taifa lao.
Ila nimeshangaa sana amemuacha gwiji aliyeanzisha hili vuguvugu katika midahalo profesa shivji na gwiji la habari Jenerali Ulimwengu, nimeshangaa sana kwa kuwa ndo vinara wa kwanza kabsa kulitafsiri hili suala kwa wanachi kuipitia mdahalo wa wazi pale UDSM.
 
Mkuu,

Nafikiri Prof. Kabudi wengi hatukumuelewa wakati ule. Mahakama kama Mhimili mmoja wapo unaojitegemea, hauwezi KULILAZIMISHA BUNGE lipitishe sheria. Mahakama inaweza tu kusema kuwa "hii sheria inavunja haki za binadamu" ila ni Bunge inabidi libadili hiyo sheria haraka.

Sasa jiulize, baadamu wao walisema hivyo, Bunge letu hadi leo nimeibadili hiyo sheria? Wengi tulijadili hiyo habari kwa munkari sana na kumuona Prof wa Kigogo hafai. Ukishajua mgawanyiko wa hii mihimili, ndiyo utamuelewa Kabudi.
 
Chadema wana msemo huwa wanasema mwakilishi mmoja kutoka CDM ni sawa na wawakilishi 50 kutoka vyama vingine. Kwakuwa kuna mtu mmoja wa CDM ukiwatoa hao wawili ambao hujapendezewa nao watabaki watu 98.

Chadema imeingiaje hapa? au ni addiction
 
Wajumbe hawa wawili ambao Rais amewaingiza katika tume ya kukusanya maoni, wana mushkeri. Judge Ramadhani anatuhumiwa kuhujumu kesi ya mgombea binafsi hivyo kuhujumu demokrasia na kuipa serikari ushindi wa kesi ambayo ilikuwa obvious kwa kuwa mgombea binafsi ni haki ya kimsingi ya kikatiba kwa katiba yetu hii kuukuu!

Prof Kabudi, pamoja na comments zake nyingi tata, anaonyesha pamoja na kuwa ni prof wa sheria hana msimamo, mfano pia ni kesi hiyohiyo ya mgombea binafsi, akiwa rafiki wa mahakama, alipendekeza pendekezo ambalo kwa mtu wa weredi wake, watu wasingetegemea hata kidogo, yaani alikuwa anapinga uwepo wa mgombea binafsi! Kwa kweli hawa wawili ni janga na tuwaangalie vizuri!

Kwakweli hawa wawili, na wengine ambao sijatoa wasifu wao kazi yao ni kukusanya maoni, lakini, ninakuwa na wasiwasi na kama ni kweli watakusanya maoni badala ya kishinikiza interest zao, anyway tunawajua wanasimamia msimamo gani, jamani tuweni macho na maoni yetu yasije nayo yakachakachuliwa.


Pamoja na ukweli kwamba Judge Augustino Ramadhani ameteuliwa kwa mapendekezo kutoka Zanzibar, bado inaonekana analipwa fadhira kwa utendaje wake ambao ulijionyesha wazi kuipendelea serikali katika maamuzi yake. Hivi sasa ana majukumu yafuatayo
  • Judge wa Afrika Mashariki
  • Judge anayemchunguzi judgee mwingine Kenya

Na hili la makamu mwenyekiti wa tume ya katiba litakuwa jukumu la tatu kubwa

swali ni kwamba yeye amewazidi ma-judge wengine (kama Judge Sammata) uwezo?
 
Ofcourse upo sahihi mkuu, lakini kumbuka ile kamati ina wajumbe wengi ambao hawawezi kumezwa na vichwa viwili tu. Surely hukumu ile ilikuwa ya kisiasa zaidi na iliwapunguzia hadhi magwiji hawa katika taaluma ya sheria. Kumbuka marehemu Mwaikusa alikuwepo, zaidi ya hilo alibobea katika katiba na kesi ile ilikuwa ya kikatiba, unaweza kuona ni namna gani muhimili huu( mahakama ) ulivyoingiliwa na siasa. Ninadhani dawa pekee ni katiba mpya ambayo wajumbe watakaoratibu maoni wengi wao watatanguliza utaifa mbele kama tunavyowafahamu kwa uzalendo wao kwa taifa lao.
Ila nimeshangaa sana amemuacha gwiji aliyeanzisha hili vuguvugu katika midahalo profesa shivji na gwiji la habari Jenerali Ulimwengu, nimeshangaa sana kwa kuwa ndo vinara wa kwanza kabsa kulitafsiri hili suala kwa wanachi kuipitia mdahalo wa wazi pale UDSM.

Hao walioachwa watatusaidia kukosoa pale mambo yatapokwenda ndivyo sivyo
 
Wajumbe hawa wawili ambao Rais amewaingiza katika tume ya kukusanya maoni, wana mushkeri. Judge Ramadhani anatuhumiwa kuhujumu kesi ya mgombea binafsi hivyo kuhujumu demokrasia na kuipa serikari ushindi wa kesi ambayo ilikuwa obvious kwa kuwa mgombea binafsi ni haki ya kimsingi ya kikatiba kwa katiba yetu hii kuukuu!

Prof Kabudi, pamoja na comments zake nyingi tata, anaonyesha pamoja na kuwa ni prof wa sheria hana msimamo, mfano pia ni kesi hiyohiyo ya mgombea binafsi, akiwa rafiki wa mahakama, alipendekeza pendekezo ambalo kwa mtu wa weredi wake, watu wasingetegemea hata kidogo, yaani alikuwa anapinga uwepo wa mgombea binafsi! Kwa kweli hawa wawili ni janga na tuwaangalie vizuri!

Kwakweli hawa wawili, na wengine ambao sijatoa wasifu wao kazi yao ni kukusanya maoni, lakini, ninakuwa na wasiwasi na kama ni kweli watakusanya maoni badala ya kishinikiza interest zao, anyway tunawajua wanasimamia msimamo gani, jamani tuweni macho na maoni yetu yasije nayo yakachakachuliwa.


Pamoja na ukweli kwamba Judge Augustino Ramadhani ameteuliwa kwa mapendekezo kutoka Zanzibar, bado inaonekana analipwa fadhira kwa utendaje wake ambao ulijionyesha wazi kuipendelea serikali katika maamuzi yake. Hivi sasa ana majukumu yafuatayo
  • Judge wa Afrika Mashariki
  • Judge anayemchunguzi judgee mwingine Kenya

Na hili la makamu mwenyekiti wa tume ya katiba litakuwa jukumu la tatu kubwa

swali ni kwamba yeye amewazidi ma-judge wengine (kama Judge Sammata) uwezo?

Pamoja na ukweli kwamba Judge Augustino Ramadhani ameteuliwa kwa mapendekezo kutoka Zanzibar, bado inaonekana analipwa fadhira kwa utendaje wake ambao ulijionyesha wazi kuipendelea serikali katika maamuzi yake. Hivi sasa ana majukumu yafuatayo

  • Judge wa Afrika Mashariki
  • Judge anayemchunguzi judgee mwingine Kenya


Na hili la makamu mwenyekiti wa tume ya katiba litakuwa jukumu la tatu kubwa

swali ni kwamba yeye amewazidi ma-judge wengine (kama Judge Sammata) uwezo?
 
SIKONGE,

Suala halikuwa sheria (an Act of Parliament), bali Katiba. Kwanza mwanzo Sheria ya uchaguzi ndiyo ilikuwa ikipinga independent candidate (IC) huku Katiba ikirusu. Mtikila akapinga hilo, yaani Sheria kumuzuia huku Katiba ibara 21 ikiruhu IC. Mahakama Kuu, THE LATE LUGAKINGIRA, akakubaliana na MTIKILA. MAGAMBA wakaenda Bungeni wakafanyia mabadiliko Katiba ibara za 39, 47 na 67 kuzuia IC. Hapo ndipo KAMANDA MTIKILA akafungua kesi nyingine kabisa akipinga mabadiliko hayo ya Katiba yanayopingana na ibara ya 21: kesi hii ndiyo iliyochakachuliwa na MAGAMBA KABUDI na RAMA

Mkuu,

Nafikiri Prof. Kabudi wengi hatukumuelewa wakati ule. Mahakama kama Mhimili mmoja wapo unaojitegemea, hauwezi KULILAZIMISHA BUNGE lipitishe sheria. Mahakama inaweza tu kusema kuwa "hii sheria inavunja haki za binadamu" ila ni Bunge inabidi libadili hiyo sheria haraka.

Sasa jiulize, baadamu wao walisema hivyo, Bunge letu hadi leo nimeibadili hiyo sheria? Wengi tulijadili hiyo habari kwa munkari sana na kumuona Prof wa Kigogo hafai. Ukishajua mgawanyiko wa hii mihimili, ndiyo utamuelewa Kabudi.
 
Wakuu mkiangalia trends za kesi nyingi mtagundua kwamba jaji Ramadhani anaonekana kuipendelea sana serikali na hukumu zake zina sura za kuwafurahisha wanasiasa walioko madarakani. Honestly namkubali sana Samata kuliko Ramadhani kiutendaji.
Hata vyeo anavyorundikiwa sasa ( Ramadhani ) ni kwamba huyu mheshimiwa anarudishiwa fadhila na serikali ambayo ameitetea alipokuwa mtumishi wa umma.
My take;
Dk Sengondo Mvungi, Prof. Baregu na wengine kuweni macho na watu kama Ramadhani mtakapokuwa mnatengeneza "Tanzania Mpya"
 
Hao jamaa awakufaa kuwemo kabisa, lakini tuwape muda tuone kwani hata wakichakakchua na kutunga katiba kimagambamagamba, bado wazalendo tutaendeleea kudai katiba ya wananchi

Kama hawafai kwa nini tusubiri watuletee mchakachuo?
TUSITEGEMEE KUVUNA ZABIBU KWENYE MICHONGOMA!
 
Chadema wana msemo huwa wanasema mwakilishi mmoja kutoka CDM ni sawa na wawakilishi 50 kutoka vyama vingine. Kwakuwa kuna mtu mmoja wa CDM ukiwatoa hao wawili ambao hujapendezewa nao watabaki watu 98.
Hivi chadema inaingiaje hapa?? unataka nishindwe kukutofautisha na watu wanaojadiri dini za hawa wateule. Mimi nadhani tungeendelea kumchambua mtu mmoja mmoja kama jamaa alichofanya na kama kuna kitu kachemka nadhani ni fursa nzuri sana kumrekebisha. Kuliko kuzungumzia vyama vyao au dini zao. Natafakari tuu
 
watanzania wenzangu wazalendo wana wa afrika mimi mtanzania halisi mwanawaafrika ,nashauri kuwa katika mchakato huo wanahabari na vyombo vya habari vipewe jukumu la kurekodi kila kitu anachochangia mtanzania popote alipo awe kisumba huko kalambo sumbawanga awe kifunda huko lufilyo rungwe mashariki awe paradiso huko mbinga ruvuma awe kilindi tanga ,manyoni singida yaani popote pale sasa picha hizo zipewe kipindi maalumu kirushwe kwenye tv zote bila upendeleo kwa kisingizio kuwa ipo tbc hapana tunataka tv zote zishiriki walipwe muda wa hewani ,radio zote kwenye mitandao ili wananchi wasikie waone kilichonenwa na watu wa bukombe ,watu wa mitumba huko gombe kigoma na kuingineko ,ili siku ya siku hawa wakina ramadhani tuwashitaki wasipotekeleza majukumu sawa na maoni ya wananchi.
 
Back
Top Bottom