Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Wajumbe hawa wawili ambao Rais amewaingiza katika tume ya kukusanya maoni, wana mushkeri. Judge Ramadhani anatuhumiwa kuhujumu kesi ya mgombea binafsi hivyo kuhujumu demokrasia na kuipa serikari ushindi wa kesi ambayo ilikuwa obvious kwa kuwa mgombea binafsi ni haki ya kimsingi ya kikatiba kwa katiba yetu hii kuukuu!
Prof Kabudi, pamoja na comments zake nyingi tata, anaonyesha pamoja na kuwa ni prof wa sheria hana msimamo, mfano pia ni kesi hiyohiyo ya mgombea binafsi, akiwa rafiki wa mahakama, alipendekeza pendekezo ambalo kwa mtu wa weredi wake, watu wasingetegemea hata kidogo, yaani alikuwa anapinga uwepo wa mgombea binafsi! Kwa kweli hawa wawili ni janga na tuwaangalie vizuri!
Kwakweli hawa wawili, na wengine ambao sijatoa wasifu wao kazi yao ni kukusanya maoni, lakini, ninakuwa na wasiwasi na kama ni kweli watakusanya maoni badala ya kishinikiza interest zao, anyway tunawajua wanasimamia msimamo gani, jamani tuweni macho na maoni yetu yasije nayo yakachakachuliwa.
Prof Kabudi, pamoja na comments zake nyingi tata, anaonyesha pamoja na kuwa ni prof wa sheria hana msimamo, mfano pia ni kesi hiyohiyo ya mgombea binafsi, akiwa rafiki wa mahakama, alipendekeza pendekezo ambalo kwa mtu wa weredi wake, watu wasingetegemea hata kidogo, yaani alikuwa anapinga uwepo wa mgombea binafsi! Kwa kweli hawa wawili ni janga na tuwaangalie vizuri!
Kwakweli hawa wawili, na wengine ambao sijatoa wasifu wao kazi yao ni kukusanya maoni, lakini, ninakuwa na wasiwasi na kama ni kweli watakusanya maoni badala ya kishinikiza interest zao, anyway tunawajua wanasimamia msimamo gani, jamani tuweni macho na maoni yetu yasije nayo yakachakachuliwa.