Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amejibu swali la walemavu vizuri sana....
ila tatizo la zito ni time management!
ana mambo mengi ya kuongelea. Huyu wa appt anakeep time kweli!
jamaa wa cuf alianza vizuri lakini sasa anaharibu, anawakataza watu kushangilia
Kamtaja kwa lipi? amemsifia au?Du! Zitto kamtaja JK!
Umeeleza vema lakini umesahau kuongezea:namsaidia kujibu
1.hana mpango wa kugombea urais 2015 kwa sababu atakuwa hajatimiza kigezo cha umri
2.anafanya kampeni za chadema, alikuwa kibaha, lindi, mtwara
3.si kweli
Hajamtaja hata chembe Slaa? You don't tell me...!Nasubiria closing remarks za Zitto kama atampigia debe Dr. Slaa
Asante kwa taarifa Zitto.
Naomba kukuuliza swali la kichokozi kidogo mbona kwenye kampeni za Dr hauonekani?
heee!! nini tena?Kama leo "machakato majimboni " ni jimboni kwa Zitto, Siwezi poteza mda wangu kwa kutizama mtu kama Zitto, kijana aliyeishiwa sera na mwenye tamaa ,anayejali maslahi yake binafsi kuliko ya wapiga kura wake.....