Mchakato katiba mpya: Sema "no" to kikwete na "yes" to bunge


Lets be serious on this matter.

Hivi tunataka katiba mpya au kumuondoa JK madarakani? Maana it seems hakuna anaye jua umuhimu wa katiba japo tunaimba huo wimbo!! just look at your statement: yaani katiba itungwe ibague baadhi ya watanzania? wala sioni kama unaelewa unachoandika. katiba itakayo andikwa ku-favour au kukandamiza kundi moja la jamii itakua short lived! JK akitoka (if that is your main problem) then what?
ukitaka kujua bado hatujui what we need, angalia jinsi CUF walivyo fanya yaani wanaandika mawazo yao, then wanaandamana eti wameandika katiba! wakati wanasema hii ya sasa iliandikwa wakati wa chama kimoja kwani CUF ni vyama vingapi?

Chadema nao mbio wanapeleka hoja binafsi juu ya katiba wakati kimsingi imekubalika hivyo kwamba hatuitaki hii iliyopo tunataka mpya. halafu hivi tunamdai nani katiba? sasa hivi tusipoteze wakati kupiga makelele, tuacho hitaji ni jinsi ya kuipata, JK alipropose tume yakuunda, well we do not trust each other, so it seems that is not a viable option, kuna nyingine mbili White paper na kuunda bunge la katiba. lets think along these lines matusi hayatatupa katiba ya kudumu.

Sote tunajua the Best and most democratic country in the World ni India, katiba yao imekua ammended mara hamsini na inalinda maslahi ya watu Billion plus.

USA katiba yao iliandikwa 200 yrs ago bado ina kidhi matakwa ya wamarekani wote.

our current constitution ina miaka 50 so we need kuhakikisha itakayo andikwa itatuongoza for 50 yrs and beyond. and it should be better than all our neighbours! tuzisome zoote za majirani tu establish makosa yao (nothing is perfect) then tuboreshe.

lastly, tuache matusi hayajengi hata kidogo, sababu hii ni nchi yetu wote hata kama humpendi jirani yako, just remmember God gives you only the ability to choose friends, not neighbours! so love your neighbour and make peace with your enemies.

I am out.
 
Lets be serious on this matter.

Hivi tunataka katiba mpya au kumuondoa JK madarakani? Maana it seems hakuna anaye jua umuhimu wa katiba japo tunaimba huo wimbo!! just look at your statement: yaani katiba itungwe ibague baadhi ya watanzania? wala sioni kama unaelewa unachoandika. katiba itakayo andikwa ku-favour au kukandamiza kundi moja la jamii itakua short lived! JK akitoka (if that is your main problem) then what?
ukitaka kujua bado hatujui what we need, angalia jinsi CUF walivyo fanya yaani wanaandika mawazo yao, then wanaandamana eti wameandika katiba! wakati wanasema hii ya sasa iliandikwa wakati wa chama kimoja kwani CUF ni vyama vingapi?

Chadema nao mbio wanapeleka hoja binafsi juu ya katiba wakati kimsingi imekubalika hivyo kwamba hatuitaki hii iliyopo tunataka mpya. halafu hivi tunamdai nani katiba? sasa hivi tusipoteze wakati kupiga makelele, tuacho hitaji ni jinsi ya kuipata, JK alipropose tume yakuunda, well we do not trust each other, so it seems that is not a viable option, kuna nyingine mbili White paper na kuunda bunge la katiba. lets think along these lines matusi hayatatupa katiba ya kudumu.

Sote tunajua the Best and most democratic country in the World ni India, katiba yao imekua ammended mara hamsini na inalinda maslahi ya watu Billion plus.

USA katiba yao iliandikwa 200 yrs ago bado ina kidhi matakwa ya wamarekani wote.

our current constitution ina miaka 50 so we need kuhakikisha itakayo andikwa itatuongoza for 50 yrs and beyond. and it should be better than all our neighbours! tuzisome zoote za majirani tu establish makosa yao (nothing is perfect) then tuboreshe.

lastly, tuache matusi hayajengi hata kidogo, sababu hii ni nchi yetu wote hata kama humpendi jirani yako, just remmember God gives you only the ability to choose friends, not neighbours! so love your neighbour and make peace with your enemies.

I am out.

Umetoka usingizini au?Mbona mihemko hivyo?Matusi yako wapi?Ainisha moja tu?

Kwa jinsi nilivyoilelewa hii thread ni kwamba, hoja ya katiba mpya ianzie bungeni na si kwa Rais

Soma uelewe msingi wa hoja siyo unakurupuka tu na kumwaga upupu!
 
Kikwete ni nani na bunge ni nani?
Ibara ya 62(1) Inasema kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili, yaani Rais na Wabunge.

Kwa maana hiyo Kikwete yuko ndani ya na ni sehemu ya Bunge.

Tunachotaka ni hoja ianzie bungeni, sheria ya kuanzisha mchakato wa katiba mpya itungwe, kuwe na msingi ambao tunaurejea pindi tunapokwama.Sasa Kikwete kadandia hoja, hakuna tena referandum, na katiba mpya hakuna.

Issue hapa ni balance and checks. Kikwete yuko kwenye executive branch, suala la katiba ni mkataba kati ya dola na wenye nchi, ambao wanaona mapungufu ni wenye nchi, na dola kupitia mwanasheria mkuu, na waziri wa sheria, walikwisha weka wazi kwamba hilo siyo hoja ya msingi na kinachotakiwa ni kufanywa marekebisho madogo tu.

Ukweli ni kwamba, katiba tuliyonayo, watawala wanafaidika nayo, na hawapendi kabisa kusikia neno katiba mpya, na mbaya zaidi, mchakato unapokuwa mikononi mwa wengine na si wao.

Hii hoja ni ya wananchi, basi waachiwe wananchi, Rais asubiri wakati wake atie sahihi na ianze kutumika baada ya wananchi kupitia bunge kukamilisha taratibu zote zinazotakikana na kupata katiba mpya ikiwa imeshikisha wadau wote bila hisani ya mtawala yeyote yule.

Bunge linatunga sheria, na sheria haiwezi kuwa sheria kama rais hajatia sahihi!Huo ndio msingi wa Raisi kuwa sehemu ya bunge na hilo halifuti hata kidogo dhana ya kuwa na mihimili mitatu, yaani legislature,executive and judiciary.

Aaauuuuu umetumwaaaa????
 
Umetoka usingizini au?Mbona mihemko hivyo?Matusi yako wapi?Ainisha moja tu?

Kwa jinsi nilivyoilelewa hii thread ni kwamba, hoja ya katiba mpya ianzie bungeni na si kwa Rais

Soma uelewe msingi wa hoja siyo unakurupuka tu na kumwaga upupu!
[/QUOTE
 
Lets be serious on this matter.

Hivi tunataka katiba mpya au kumuondoa JK madarakani? Maana it seems hakuna anaye jua umuhimu wa katiba japo tunaimba huo wimbo!! just look at your statement: yaani katiba itungwe ibague baadhi ya watanzania? wala sioni kama unaelewa unachoandika. katiba itakayo andikwa ku-favour au kukandamiza kundi moja la jamii itakua short lived! JK akitoka (if that is your main problem) then what?
ukitaka kujua bado hatujui what we need, angalia jinsi CUF walivyo fanya yaani wanaandika mawazo yao, then wanaandamana eti wameandika katiba! wakati wanasema hii ya sasa iliandikwa wakati wa chama kimoja kwani CUF ni vyama vingapi?

Chadema nao mbio wanapeleka hoja binafsi juu ya katiba wakati kimsingi imekubalika hivyo kwamba hatuitaki hii iliyopo tunataka mpya. halafu hivi tunamdai nani katiba? sasa hivi tusipoteze wakati kupiga makelele, tuacho hitaji ni jinsi ya kuipata, JK alipropose tume yakuunda, well we do not trust each other, so it seems that is not a viable option, kuna nyingine mbili White paper na kuunda bunge la katiba. lets think along these lines matusi hayatatupa katiba ya kudumu.

Sote tunajua the Best and most democratic country in the World ni India, katiba yao imekua ammended mara hamsini na inalinda maslahi ya watu Billion plus.

USA katiba yao iliandikwa 200 yrs ago bado ina kidhi matakwa ya wamarekani wote.

our current constitution ina miaka 50 so we need kuhakikisha itakayo andikwa itatuongoza for 50 yrs and beyond. and it should be better than all our neighbours! tuzisome zoote za majirani tu establish makosa yao (nothing is perfect) then tuboreshe.

lastly, tuache matusi hayajengi hata kidogo, sababu hii ni nchi yetu wote hata kama humpendi jirani yako, just remmember God gives you only the ability to choose friends, not neighbours! so love your neighbour and make peace with your enemies.

I am out.

Wamekutumaaaaeeeeeee!!!!!!
 
Back
Top Bottom