Ndiyo mbinu mliyopewa na 'mume' wenu wa ndoa CCM? Endeleeni tu lakini tunawahakiikishia kwamba tunazijua mbinu zenu zote maana Mzee wenu mwenye sura ya ngedere (Wahasira) alishaupasha umma eti CDM itakufa karibuni! CDM haipo hapo ilipofika kutokana na bahati au ridhaa ya CCM bali kwa kazi makini ya makamanda wake. Kama mnabisha ingieni uwanjani kule Rukwa na Igunga mkachumbiwe. CUF ni iCCM B na imeshalewa sumu katika tende na haluwa za fisadi CCM alizowahonga kule
Zanzibar! Sasa wanaweweseka mithil ya wagonjwa wa maruhani.
we kama ni mwanamke hutakaa uolewe ktk maisha yako,utaishia kuzalishwa tu na kuwatia aibu wazazi wako