Elections 2010 Mchague slaa

Vuvu-Zela

Member
Aug 9, 2010
35
0







Jitahidini mle hivyo hivyo, ili mkue, watapita na matarumbeta kuwaomba kura zao
image004.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Mama endelea kutuchagua, tutawajengea barabara za juu na chini.
image005.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Tuchagueni tutawajengea makazi na ofisi bora.
image006.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Semeni wapiga kura wa leo, hongereni kwa kupata maisha bora.
image007.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Mama jitahidi uwakuzie mpiga kura wao wa mwaka2027
image008.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Usijaliee, kanunue pipi au chakula mpiga kura wangu wa 2024
image009.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Yaani mama yake akirudi tuu, naondoka na sitii mkuu tena nyumba hii.
image010.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Kazi kazi mpiga kura wa leo, maisha bora kwa kila mdanganyika.
image011.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Mkinichagua tu! Nitajenga vituo vya magari vya kisasa kila standi kuu!
image012.jpg@01CB3FB6.7BDAB680



Kama hawajuti hawa wazee, hatakaa ajute tena duniani. Anajutia na pia kufurahia kura yake ya kila baada ya miaka mitano Kikatiba ya jamhuri ya muungano wa Hapa Hapa.
image013.jpg@01CB3FB6.7BDAB680

Haya wapiga kura wa leo, kaeni na mfikirie kisha toeni jibu sahihi katika maamuzi yenu.
Mimi nilishaamua na uamuzi ni siri yangu.


 
Mods Naona kama Members Wa JF tumetosha. Hawa wapya wa kuanzia August! Mhh!! mimi sisemi
Naona kuanzia Mwezi huu wa nane mpaka Uchaguzi uishe, Mods itabidi muongeze server. We will have visitors here!
 
vuvuzela limesikika linaweza kuwachoma am kuwaunguza kabisaaaaa........







Jitahidini mle hivyo hivyo, ili mkue, watapita na matarumbeta kuwaomba kura zao
image004.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Mama endelea kutuchagua, tutawajengea barabara za juu na chini.
image005.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Tuchagueni tutawajengea makazi na ofisi bora.
image006.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Semeni wapiga kura wa leo, hongereni kwa kupata maisha bora.
image007.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Mama jitahidi uwakuzie mpiga kura wao wa mwaka2027
image008.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Usijaliee, kanunue pipi au chakula mpiga kura wangu wa 2024
image009.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Yaani mama yake akirudi tuu, naondoka na sitii mkuu tena nyumba hii.
image010.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Kazi kazi mpiga kura wa leo, maisha bora kwa kila mdanganyika.
image011.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Mkinichagua tu! Nitajenga vituo vya magari vya kisasa kila standi kuu!
image012.jpg@01CB3FB6.7BDAB680



Kama hawajuti hawa wazee, hatakaa ajute tena duniani. Anajutia na pia kufurahia kura yake ya kila baada ya miaka mitano Kikatiba ya jamhuri ya muungano wa Hapa Hapa.
image013.jpg@01CB3FB6.7BDAB680

Haya wapiga kura wa leo, kaeni na mfikirie kisha toeni jibu sahihi katika maamuzi yenu.
Mimi nilishaamua na uamuzi ni siri yangu.


 







Jitahidini mle hivyo hivyo, ili mkue, watapita na matarumbeta kuwaomba kura zao
image004.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Mama endelea kutuchagua, tutawajengea barabara za juu na chini.
image005.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Tuchagueni tutawajengea makazi na ofisi bora.
image006.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Semeni wapiga kura wa leo, hongereni kwa kupata maisha bora.
image007.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Mama jitahidi uwakuzie mpiga kura wao wa mwaka2027
image008.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Usijaliee, kanunue pipi au chakula mpiga kura wangu wa 2024
image009.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Yaani mama yake akirudi tuu, naondoka na sitii mkuu tena nyumba hii.
image010.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Kazi kazi mpiga kura wa leo, maisha bora kwa kila mdanganyika.
image011.jpg@01CB3FB6.7BDAB680


Mkinichagua tu! Nitajenga vituo vya magari vya kisasa kila standi kuu!
image012.jpg@01CB3FB6.7BDAB680



Kama hawajuti hawa wazee, hatakaa ajute tena duniani. Anajutia na pia kufurahia kura yake ya kila baada ya miaka mitano Kikatiba ya jamhuri ya muungano wa Hapa Hapa.
image013.jpg@01CB3FB6.7BDAB680

Haya wapiga kura wa leo, kaeni na mfikirie kisha toeni jibu sahihi katika maamuzi yenu.
Mimi nilishaamua na uamuzi ni siri yangu.



Nimekosea samaani!!! Natoka
 
Back
Top Bottom