Eti wana jf kuna ulazima gani kwa mawazir wa serikali yetu jukumbushwa majukum yao? Na aliyewateua pale akigundua hawawezi kazi c awatimue? Wewe unahisi na ki2 gana kinawafanya wa2 hawa wakajisahau?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.