Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,314
- 7,730
Mchaga na Mpemba walipewa chumba Cairo ili kusubiri ndege ya kuunganisha kesho yake.
Mpemba alikuwa anaenda kufunga mali Oman na Mchaga akiwa anaenda masomoni Abroad.
Cha ajabu usiku kucha hakuna aliyelala, wote walikesha wanatazamana.
Unafikiri kwanini walikesha?
.
.
.
Mpemba alikuwa anaogopa ataibiwa hela zake na mchaga, While
Mchaga alikuwa anaogopa asijefanyiwa mchezo mchafu na mpemba..
Mpemba alikuwa anaenda kufunga mali Oman na Mchaga akiwa anaenda masomoni Abroad.
Cha ajabu usiku kucha hakuna aliyelala, wote walikesha wanatazamana.
Unafikiri kwanini walikesha?
.
.
.
Mpemba alikuwa anaogopa ataibiwa hela zake na mchaga, While
Mchaga alikuwa anaogopa asijefanyiwa mchezo mchafu na mpemba..