NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
JAJI: Nakuhukumu kwa kukutwa na mitambo ya kutengenezea gongo.
MTUHUMIWA(MCHAGA): Lakini ni mitambo tu siyo gongo mheshimiwa!
JAJI: Hicho ni kithibiti tosha kabisa.
MTUHUMIWA(MCHAGA): Basi nihukumiwe kwa kosa la kubaka.
JAJI: Kumbe ulibaka pia?
MTUHUMIWA(MCHAGA): Hapana ila hapa ninacho pia kifaa kinachotumika wakati wa kubaka
akimaanisha[uume].
JAJI: Basi upo huru.
MTUHUMIWA(MCHAGA): Aksante baba angu,
MTUHUMIWA(MCHAGA): Lakini ni mitambo tu siyo gongo mheshimiwa!
JAJI: Hicho ni kithibiti tosha kabisa.
MTUHUMIWA(MCHAGA): Basi nihukumiwe kwa kosa la kubaka.
JAJI: Kumbe ulibaka pia?
MTUHUMIWA(MCHAGA): Hapana ila hapa ninacho pia kifaa kinachotumika wakati wa kubaka
akimaanisha[uume].
JAJI: Basi upo huru.
MTUHUMIWA(MCHAGA): Aksante baba angu,